Biden apewa ushauri hatari wa kupeleka mabomu ya atomiki Taiwan ili kukabiliana na China

Nakubaliana na wewe kwenye uvumbuzi wa gun powder kweli wachina ndio walio vumbua lakini unajua kwamba walivumbua kwa miaka 100 ndio wazungu wakaiboresha zaidi. Kwenye calculator chuo cha Kent university kipo kent,Ohio ndicho kilichovumbua calculator sio wachina. Na hesabu ni Egypt ndipo kulipo vumbuliwa. Kuhusu wanafunzi wengi wanaosoma/ ongoza kwenye technology USA ni wahindi sio wachina nikija kwenye watu walio mbali kwa uvumbuzi ni wajapan sio wachina yaani wapo 3 years ahead ya USA na Europe. Nishasoma China na nishasoma USA kwahio huwezi kunidanganya kwa hilo.


Lunatic
Hizo takwimu umezipata wapi, kuweni makini sana na propaganda za nataifa yamagharibi
 
Hizo takwimu umezipata wapi, kuweni makini sana na propaganda za nataifa yamagharibi
Ulitakaje labda ... Kawasagia kunguni hao wa magharibi na kawasifu wa mashariki ya mbali China,India na Japan napo hutaki ... Unatakaje kuwa Afrika ndio wabobezi au .... Africa hiiii hiihiiiii ya kina Samia
 
Ulitakaje labda ... Kawasagia kunguni hao wa magharibi na kawasifu wa mashariki ya mbali China,India na Japan napo hutaki ... Unatakaje kuwa Afrika ndio wabobezi au .... Africa hiiii hiihiiiii ya kina Samia
Nilikuwa sijamalizia kumjibu muhusika.
 
Wewe vipi,unalewa vizuri masuala ya kisayansi au unajesemea tu - huna hata habari kwamba wachina ndio wali invent gunpowder, roketi,wino, karatasi, compass,machine za kutengeza nguo including silk,porcelain, karamu,maths calculator (abacus), manual print duplicating machines,acupuncture,madawa nk - kwa kifupi wachina walikuwa mbali sana katika fani ya sayansi, walikuja kuvurugwa na kurudishwa nyuma kimaendeleo kutokana na uvamizi wa wazungu.

Mnacho sahau ni kwamba wanasayansi wengi wenye asili ya Uchina waliokuwa wanaishi huko Merikani wamechangia sana katika kuliendeleza Taifa hilo kwenye masuala ya sayansi na teknolojia, kuanzia masuala ya nuclear, outer space exploration,Artificial Intelligence,Quantum Computers, utafiti wa stem cells nk.

Nataka nikumbumbushe kitu ambacho labda hukijui, ni hivi: binadamu ambao wana akili nyingi Duniani ni watu wenye asili ya Kichina yaani Orientals( Wachina,Wakorea na Wajapan) ndio wanaongoza Duniani kuwa na IQ kubwa ukweli huo imethibitishwa kisayansi sio mambo ya blah blah.

Nimalizie kwa kusema kwamba almost all ground breaking inventions (uvumbuzi wa teknolijia ya hali ya juu) huko Merikani takwimu zinaonyesha kwamba asilimia kubwa za wavumbuzi hao ni Orientals (Wachina,Wakorea) walio jiunga na vyuo vikuu vya huko Merikani on Student VIZA na sio wanafunzi wa kizungu, kisheria ukivumbua kitu wakati unasoma chuo kikuu uvumbuzi wako unabaki ni mali ya Chuo kikuu sio wewe - wao ndio uwauzia uvumbuzi wako kampuni binafsi au jeshi - wala haidhsngazi kwa nini China inakuja juu sana Duniani katika masuala ya sayansi na teknolojia - wana akili sana sana - hizi propaganda za kusema eti wachina ni mahili katika masuala ya wizi wa intellectual properties hivyo ni visingizio tu kama ibgekuwa kirahisi hivyo mbona mataifa mengi Duniani yanashindwa kuiga kasi ya maendeleo ya kisayansi na teknolojia kama Wachina ambao wamefanikiwa kupeleka vyombo in outer space, kujenga space station, kupeleka vyombo vya utafiti wa kisayansi mwezini na kwenye sayari ya MARS, kuunda ndege za kisasa za kusafirisha abiria, ndege za vita,submarines,hypersonic missiles and glide vehicles, Quantum computers and radars, bullet trains, bwawa kubwa sana Duniani LA kuzalisha umeme nk, ukicheck kwa umakini utakututa watalaam wengi wa kichina wanao fanya maajabu hayo nniakina bwana mdogo tu miaka 25 mpaka 35!! Halafu wazungu wanakuja na ngojera zao eti Wachina wezi, wachina wezi, Wachina eti wanakihuka haki za binadamu - wanawazulia tuhuma chugu nzima baada ya wazungu kushindwa kushindana na Wachina kiuchumi na kiteknolojia bahati mbaya baadhi ya waswahili wanajiunga na crusade ya kuwasema vibaya Wachina.
Kuna wajinga wengi duniani eti wasnasema wavumbuzi wengi duniani ni Israeli kumbe ni propaganda tu.
 
Hahahaaa
Wee konyo kweli. Kwahiyo wee ni mwenyechair wa kikao
Mkuu, wala husishangae wakale walisema "akili ni.... kila mtu ana zake" kinacho fanyika hapa ni kuelimishana after all tunatoka kwenye background tofauti vile vile exposure tofauti, mtu akiwa makini atajifunza mengi katika forum hii kutoka kwa wenzake.
 
Marekani haina faida yoyote pale Taiwan
Ile nchi ni ya wachina, na wale ni ndugu, kuingilia ugomvi wa ndugu ni kupoteza resources tu.

Issue ya Taiwan ni civil war ambayo haikuisha mwaka 1949

Ka marekani kana kiherehere sana, kila ugomvi kanaingilia na kusababisha maafa and then kanawaacha waendelee kupigana.
 
Ni wazi Amerika haiwezi kutishia China kwa mabom ya nuclear huku wakijuwa wazi kwamba Wachina wana uwezo mkubwa wa kujibu mapigo na kuigeuza landmass ya USA into thermonuclear waste land - msilisahua hilo,ukweli wa mambo ni kwamba Uchina ya leo sio ya mwaka 1947.
Inaonyesha China ya Sasa ni kitisho kikubwa kwa Marekani.

Huenda pia Marekani inahofu itapokonywa ufalme wake na China miaka ijayo.
 
China is a third world country, just like us. The people of China are fleeing their country in search of the greener pastures abroad just the way we do in Africa 🌍 So not a lot that can be said about the Chinese.
Si kweli.
 
Inaonyesha China ya Sasa ni kitisho kikubwa kwa Marekani.

Huenda pia Marekani inahofu itapokonywa ufalme wake na China miaka ijayo.
Well said, thank you. Kama ulivyo sema, hofu ndio inatawala hivi sasa kwenye akili za Utawaka wa Merikani pamoja na wafanya biashara/matajiri wakubwa wa Taifa hilo wamekwisha anza kunusa the beginning of the end ya Taifa lao in terms of: Uchumi,Kijeshi na ushawishi wa masuala ya Geopolitics - this scares a living daylights out of Uncle SAM's psych - wamechanganyikiwa kweli kweli nakwambia.
 
Ukweli ni upi.
Huwezi kuiweka China kwenye 'third world countries' kama Tz yetu.

Isitoshe China ina uchumi wa pili kwa ukubwa duniani baada ya Marekani na akiba kubwa ya fedha za kigeni duniani kuliko hata Marekani.

China ndio mshindani mkubwa wa kibiashara wa Marekani zama hizi.
 
Huwezi kuiweka China kwenye 'third world countries' kama Tz yetu.

Isitoshe China ina uchumi wa pili kwa ukubwa duniani baada ya Marekani na akiba kubwa ya fedha za kigeni duniani kuliko hata Marekani.

China ndio mshindani mkubwa wa kibiashara wa Marekani zama hizi.
Wewe kuelewa itakua ni ngumu sana ila china kwa idadi ya watu+ uchumi walionao inatosha kuonesha china ni moja ya nchi ngumu sana

Wewe baba unakipato cha milioni 100 kwa mwezi na unawatoto 1000 mwenzio anakipato cha milioni 50 na watoto 10 na hiii ndio sababu nchi za ulaya huonekana bora
 
Back
Top Bottom