Biden apewa ushauri hatari wa kupeleka mabomu ya atomiki Taiwan ili kukabiliana na China

Uyo Mnaye muona takataka Kuna wenzenu uko inje they call him nabii wa Mungu wengine shujaa wengine father of Africa

Mimi siwezi shangaa wa Tanzania kumkataa magufuli
Ila amini usiamini kiongozi yeyote awe wa Chama pinzani au wapi atakaye anzisha sera za magufuli trust me hé Shall be a next president in Tanzania ukweli ndo uo
We jamaa unaweza tupa maandiko ya sera za magufuli ?
CCM ndio wana sera sio magu, yeye alikuwa ni msimamizi wa sera za CCM tu.
 
Sawa bwana wanjiru, ila sisi wamachinja hapa kariakoo hatupo salama kabisa….

watumishi wa umma wanafanya wanavyojisikia sasa hv , ukikosoa hupati huduma , ni wale wa mali za magendo ndo wanafurahia kifo cha Magu , ukimuona mtu anamponda Magu ni either alikuwa muhujumu uchumi ( yaan anapata ela kwa njia haramu mfano rushwa , kupokea mishahara ya marehemu , watu wenye kazi mbili kwa mpigo yaan govt na private at once na serikalini amakuja kwa kujisikia pia wale wa vyeti feki , ila wapo walikuwa kwenye chain hiyo kupitia walezi , wazazi au maboss wao walioshikishwa adabu na marehemu ila pia lipo kundi dogo la mazwazwa linalomponda Magu pasipo kujua kwann wanamponda just kwa vile kuna watu wanamponda Magu , all in alll we can not move with this kind of weak govt , Rushwa imerud kwa kas , raia hawana haki ya kupatiwa huduma za kijamii kwa matakwa yao no questioning no explaining how you want the service to be lkn kwenye tv wanatuwekea mapicha picha mengi sana , finally wa uchadema wa watu fulan ndio tunalipoteza taifa kbs badala ya kukosoa makosa ya awamu mpya ila wapo kishabiki zaid kisa mama amapinga baadhi ya sera za Magu
 
watumishi wa umma wanafanya wanavyojisikia sasa hv , ukikosoa hupati huduma , ni wale wa mali za magendo ndo wanafurahia kifo cha Magu , ukimuona mtu anamponda Magu ni either alikuwa muhujumu uchumi ( yaan anapata ela kwa njia haramu mfano rushwa , kupokea mishahara ya marehemu , watu wenye kazi mbili kwa mpigo yaan govt na private at once na serikalini amakuja kwa kujisikia pia wale wa vyeti feki , ila wapo walikuwa kwenye chain hiyo kupitia walezi , wazazi au maboss wao walioshikishwa adabu na marehemu ila pia lipo kundi dogo la mazwazwa linalomponda Magu pasipo kujua kwann wanamponda just kwa vile kuna watu wanamponda Magu , all in alll we can not move with this kind of weak govt , Rushwa imerud kwa kas , raia hawana haki ya kupatiwa huduma za kijamii kwa matakwa yao no questioning no explaining how you want the service to be lkn kwenye tv wanatuwekea mapicha picha mengi sana , finally wa uchadema wa watu fulan ndio tunalipoteza taifa kbs badala ya kukosoa makosa ya awamu mpya ila wapo kishabiki zaid kisa mama amapinga baadhi ya sera za Magu
Nchi yetu imejaa manyumbu, sio tu upinzani ni Tanzania nzima mpaka huko CCM, Magu aliwaminya mpaka watoto wanyumbani ambao kiuhalisia ndio waliokuwa na mianya yote. Sitarajii kusikia sifa nyingi nzuri kutoka kwa Magu, alifanya yake akapita zake. Ila kuna watu kamwe hawatakuja msahau maishani mwao, hasa wale wenye shingo ngumu kama ya Farao.
 
China aachane na habari ya Taiwan itakuja kumgharimu vibaya sana.
Kinachofuata ni china Kuitwa Taiwan kama ilivyofanya Rusia kuitwaa Crimea.
China anajua kua Rusia aliweza na US hakuti kidomo chake na yeye anaweza pia.
 
Biden apewa ushauri hatari wa kupeleka mabomu ya atomiki Taiwan ili kukabiliana na China

Oct 19, 2021 07:44 UTC

[https://media]

Taasisi moja ya wanafikra wenye misimamo ya kufurutu mpaka nchini Marekani imeeleza katika andiko lake moja la upembuzi kwamba, kuna ulazima kwa serikali ya Marekani kuweka mabomu ya atomiki katika kisiwa cha Taiwan ili kukisaidia kisiwa hicho dhidi ya China.

Taasisi ya Gatestone imeeleza katika uchambuzi wake huo kuwa, Rais Joe Biden wa Marekani anaweza kurejesha tena mkakati wa kuzuia hujuma za mashambulio kwa kupendekeza mkataba wa ulinzi baina ya Washington na Taiwan.

Sehemu nyingine ya uchambuzi huo wa Gatestone imeeleza kuwa, ikiwa yeye Biden hataki kufanya hivyo, itapasa aanzishe vituo maalumu vya silaha za atomiki ndani ya Taiwan au kuhamishia silaha hizo katika kisiwa hicho ili kiweze kujilinda.

Kwa mujibu wa taasisi hiyo yenye misimamo ya kufurutu ada, baada ya kutekwa mji mkuu wa Afghanistan Kabul, Taiwan sasa ni mtihani wa kuipima azma ya Marekani, kwa hivyo Washington inapasa ichukue hatua zisizo za kawaida kwa ajili ya kukilinda kisiwa hicho.

[https://media]

Hayo yanaripotiwa huku uchambuzi mwingine uliofanywa na chaneli ya habari ya Russia Today ukieleza kwamba, ikiwa China itaamua kuishambulia kijeshi Taiwan, lazima itakuwa imeshaufanyia tathmini pana na ya kina ya kiintelijensia uwezekano wa kufanikiwa na kutoka na ushindi katika shambulio hilo.

Duru za habari ziliripoti siku ya Jumamosi kuwa,Taiwan inafuatilia uwezekano wa kupokea kabla ya muda ulioafikiwa ndege 66 za kivita aina ya F-16 na zaidi ya makombora 100 ya masafa ya mbali aina ya AGM-158 kutoka Marekani yenye uwezo wa kushambulia ardhi ya China.../
Marekani akipeleka Makombora hata 10 ya Nuclear kule Taiwan Basi mchezo utakuwa umeisha. Kwasababu,Hayo Makombora yakishatua pale Taiwan harafu Taiwan akapiga hata 2 ya Majaribio Baharini,nakuhakikishia China hatakuwa na uthubutu wa kuivamia Tena Taiwan.

Hii ndio Mbinu aliyoitumia China ili kuihakikishia Usalama Korea Kaskazini. Alipeleka wanasayansi kimyakimya wakatengeneza Makombora na Sasa North Korea haishikiki kabisa.

Sema kwasababu ya Protocol nyingi ambazo itabidi Marekani azifuate ndio Makombora yapelekwe kitu ambacho Ni Ngumu. WAZO la kupeleka Makombora Taiwan Lazima liende Bungeni Congress harafu Senate ambao Wabunge wapuuzi hasa wa Democrat watapiga Kura ya hapana.

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Sawa bwana wanjiru, ila sisi wamachinja hapa kariakoo hatupo salama kabisa….
Ninyi si wamachinga, wamachinga napishana nao kila kona na vibegi vyao mgongoni mitaani, na wala sioni mgambo akiwafukuza. Ninyi mlitengeneza magenge katikati ya mji
 
Ninyi si wamachinga, wamachinga napishana nao kila kona na vibegi vyao mgongoni mitaani, na wala sioni mgambo akiwafukuza. Ninyi mlitengeneza magenge katikati ya mji
Mpaka New york kuna magenge braza… pia tafsiri ya Machinga ni marching guys, kwenye hayo magenge jioni huoni baadhi tukihamisha mazaga yetu na asubuhi kuanza kupanga upya? Sisi Ni sawa na duka la mangi lenye kufuri kweli!

tatizo sio genge tatizo serikali yetu haina maono ya kutupanga inavyostahili, mkituacha tujipange tutajipanga vizuri tu.
 
Kinachofuata ni china Kuitwa Taiwan kama ilivyofanya Rusia kuitwaa Crimea.
China anajua kua Rusia aliweza na US hakuti kidomo chake na yeye anaweza pia.
Aende basi akaichukue hiyo Taiwan kama ana huo ubavu. Ameimba wee toka enzi na enzi.
 
Aende basi akaichukue hiyo Taiwan kama ana huo ubavu. Ameimba wee toka enzi na enzi.
Faida ya China kuichukua Taiwan Wala siioni kabisa. Nimekaa Taipei for 5 Months(July 2017 to January 2018). Hawa Raia wa Taiwan wanawachukia Wachina kuliko Taliban na ISS. Mentallity ya Wachina bara Ni tofauti na Raia wa Taiwan japo kimuonekano wanafanana,kimaadili hawafanani kabisa.

China Hana Mpango wa kuichukua Taiwan,vitisho hivyo Ni kutaka kuiogopesha Taiwan tu isiwe karibu na Marekani. Gharama za Kuichukua Taiwan Ni Kubwa kuliko kuachana nayo kabisa.

Karibu 80% ya Wataiwan hawaipendi China na wako tayari kusimama mstari wa mbele kwenye Vita na China. Kwahiyo hata Kama China ataweza kuichukua Taiwan sioni njia atakayotumia kuitawala Taiwan. Uasi wa Raia utakuwa Mkubwa Mpaka China ataikimbia Taiwan mwenyewe Kama Marekani Alivyoikimbia Afghanstan. Marekani Kashindwa Afghanstan kwasababu kuanzia Wanajeshi Mpaka Raia walikuwa wanaiunga Mkono Taliban isipokuwa Wanasiasa wachache tu.

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Mpaka New york kuna magenge braza… pia tafsiri ya Machinga ni marching guys, kwenye hayo magenge jioni huoni baadhi tukihamisha mazaga yetu na asubuhi kuanza kupanga upya? Sisi Ni sawa na duka la mangi lenye kufuri kweli!

tatizo sio genge tatizo serikali yetu haina maono ya kutupanga inavyostahili, mkituacha tujipange tutajipanga vizuK

Mpaka New york kuna magenge braza… pia tafsiri ya Machinga ni marching guys, kwenye hayo magenge jioni huoni baadhi tukihamisha mazaga yetu na asubuhi kuanza kupanga upya? Sisi Ni sawa na duka la mangi lenye kufuri kweli!

tatizo sio genge tatizo serikali yetu haina maono ya kutupanga inavyostahili, mkituacha tujipange tutajipanga vizuri tu.
Nimecheka sana ulivyotumia nafasi ya kwanza-uwingi kwenye sentensi ya mwisho🤣 🤣 🤣 🤣
New York hukuna genge limewekwa kwenye "lane" ya watembea kwa miguu, liwalazimishe watembee yanapopita magari. Lakini pia najaribu kupafikiria mahali kama K'koo ama Posta. Kwa miji mikubwa unayoifanyia reference, haya maeneo yangekuwa Zone 1, wamachina sisi tunavyomiliki maeneo hapa K'koo na Posta huwezi kuwaona Zone 1 ya hayo majiji makubwa.
Lakini nakubaliana na hoja yako ya utaratibu, ila tujiulize kwa barabara zetu zilivyo nyembamba pamoja na kuwa na lane za watembea kwa miguu, hilo banda tunaweka wapi hata kama tunasema utaratibu??
 
Marekani akipeleka Makombora hata 10 ya Nuclear kule Taiwan Basi mchezo utakuwa umeisha. Kwasababu,Hayo Makombora yakishatua pale Taiwan harafu Taiwan akapiga hata 2 ya Majaribio Baharini,nakuhakikishia China hatakuwa na uthubutu wa kuivamia Tena Taiwan.

Hii ndio Mbinu aliyoitumia China ili kuihakikishia Usalama Korea Kaskazini. Alipeleka wanasayansi kimyakimya wakatengeneza Makombora na Sasa North Korea haishikiki kabisa.

Sema kwasababu ya Protocol nyingi ambazo itabidi Marekani azifuate ndio Makombora yapelekwe kitu ambacho Ni Ngumu. WAZO la kupeleka Makombora Taiwan Lazima liende Bungeni Congress harafu Senate ambao Wabunge wapuuzi hasa wa Democrat watapiga Kura ya hapana.

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Ubaya nikwamba marekani naupuuzi wake alokua nao wakufuga mashoga
Ila hawez pia akafanya upuuzi mwengine kama huo dhidi ya UCHINA kwa TAIWAN mambo sio marahisi hvyo KIJANA
 
Faida ya China kuichukua Taiwan Wala siioni kabisa. Nimekaa Taipei for 5 Months(July 2017 to January 2018). Hawa Raia wa Taiwan wanawachukia Wachina kuliko Taliban na ISS. Mentallity ya Wachina bara Ni tofauti na Raia wa Taiwan japo kimuonekano wanafanana,kimaadili hawafanani kabisa.

China Hana Mpango wa kuichukua Taiwan,vitisho hivyo Ni kutaka kuiogopesha Taiwan tu isiwe karibu na Marekani. Gharama za Kuichukua Taiwan Ni Kubwa kuliko kuachana nayo kabisa.

Karibu 80% ya Wataiwan hawaipendi China na wako tayari kusimama mstari wa mbele kwenye Vita na China. Kwahiyo hata Kama China ataweza kuichukua Taiwan sioni njia atakayotumia kuitawala Taiwan. Uasi wa Raia utakuwa Mkubwa Mpaka China ataikimbia Taiwan mwenyewe Kama Marekani Alivyoikimbia Afghanstan. Marekani Kashindwa Afghanstan kwasababu kuanzia Wanajeshi Mpaka Raia walikuwa wanaiunga Mkono Taliban isipokuwa Wanasiasa wachache tu.

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Kutokuiona kwako wewe haimaanishi kwamba hakuna hio faida
Unataka kunambia kwamba wewe mmoja umeona mbali kuliko sirikali nzima ya Beijing
Kaa kwakutulia mzee
 
Back
Top Bottom