cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,067
- 46,674
Mume kakasirika hutafikiri yeye hajawahi kuchepuka ni Mwema sana, kaona amzalilishe kabisa baby mama. Mume hana busaraHuyu mshangazi kama sio mhaya, sijui. Ana figa ya hatari. Hapa aliyepoteza ni mme wake haya yote ya sijui usitumie jina langu ni mahasira yake mwenyewe. Kama alikuwa haudumii hiki kifaa kitandani ipasavyo ana haki ya kumegewa.
Sent using Jamii Forums mobile app