Biblia inasemaje kuhusu michepuko?

Biblia inasemaje kuhusu michepuko?

Pastor wa kitaa asituzingue. Atupe vifungu vya Biblia asitumie uelewa wake. Atuambie ni wapi Biblia ilipolazimisha kuwa na mke mmoja tu na Ibrahimu baba wa imani alikuwa na wake wangapi. Hapajapata kutoea mwenye hekima na busara kama Solomon, atuambie alikuwa na wake wangapi? Alikuwa na makahaba wangapi? Mfalme Daudi alikuwa na wake wangapi na bado akagonga mke wa Uria? Je sisi ni werevu zaidi kuliko watu hao waliokuwa wamechaguliwa na wanaongea na Mungu?
 
MWANZO MGUMU JAMANI MSIONE MASIHARA MWANZO MGUMUUUU SANAA. USIPOACHA MWANZO HUACHI TENAAAA.

Thanks for the feedback, sawa quality ya audio ni ndogo nitafanyia hilo kazi. Sauti ndugu zangu ndo alionipa Mungu, hatuna namna zaidi ya kunivumilia tu.

ALL IN ALL MAMBO BADO MAGUMUUUU. Mwanga hauonekani. Ila nashukuru views ziko poa, wengine sababu tunajuana wote watu wazima mnanionea aibu tu kuniambia mambo si mambo. Ila nawaahidi msinikatie tamaa. Najifunza the hard way.

I thought i could do anything, perhaps not, perharps natakiwa kuumiza kichwa zaidi na zaidi NITOKE VIPIIII. All in all ill keep trying herder and harder. Hata story 2 za mwanzo kabisaa mimi kuandika zilikuwa TOTAL FLOP i gave up, then mwaka unaofata nikaanza tena and mnajua nini kilifata.

Nawapenda sanaa, Hallelujah!.
Audio quality sio nzuri sana Ila ni nzuri kwa kuanzia...
Sauti imesimamia Lara hauna sababu ya kuihofia.
Mungu Akutangulie ufanikishe azma yako.
 
lara 1
Mahubiri hayaeleweki!

Michepuko ilikuwepo tangu kabla nuhu hajazaliwa, kipindi cha akina Cain!

Ndio ni dhambi! Kwenye macho ya Mungu ni dhambi!

Ila circumstances ndio zinatufanya tuwe na michepuko

Me skuzote nasema Only God can Judge me, and He seems quiet Impressed with me now than then!

Everyboooooodyyy cheateth!
Pastors Cheat
Prophets cheat
Kiiiila mtu anachepuuukaaaa! Just live your life right mahesabu Mbinguni malipo duniani

Yesu akirudi na kuanza kuhukumu dhambi ya michepuko am sure aTabakia mwenyewe na wajane wakike Mbinguni
 
i honestly cant explain how i feel......sijui nifurahi sana?au furaha yangu itamaanisha kuzikosa hadithi zile tamu sababu Mama Mchungaji Lara Moko kazama kwenye neno!?
niko na mixed feelings kiukweli...ila my inner self feels sooo happy for you.
btw: that voice reminds of my beloved high school flame RAI......DAH! (SHINDWA PEPO KWA JINA LA YESU)!
 
Asante kwa elimu Lara, nashukuru sana kufahamu sisi wanaume sio waanzilishi ila tunarudia tuu kama kusoma aya ktk Biblia. Hatuna dhambi, wenye dhimbi ni hao walioanzisha.
Ila ufahamu kuwa sio wanaume wote ni wachepukaji, tupo tunaotulia sio kwasababu ya uzuri, ubora au ukatimu wa wife bali tunaangalia future za watoto wetu ikiwa hatutokuwepo.
Binafsi nimeshindwa kuchepuka sio kwasababu ya hofu ya Mungu au uzuri na ubora wa wife, bali kushindwa kutumia condom kitu ambacho niliona ni hatari sn kwa afya ya familia yangu.
Usichoke kutoa elimu.
 
Back
Top Bottom