Biblia inasemaje kuhusu michepuko?

Biblia inasemaje kuhusu michepuko?

All I Know Mchepuko Wa Kibiblia (Abraham And The Maid,Hajra) Uliresult Into A Race Which Later Ikatokea Dini.
 
Kubwa la maadui jeshi la mtu mmoja nimependa saut yako ukianzisha online church ntakuwa member Wako mzuriii
Hata mie ntakuwemo, ila kama sauti yake imefanyiwa utundu fulani hivi..
 
Kwenye hiyo audio niliyoisikiliza mkuu lara 1 hiyo sauti niliyoisikiliza ni yako?

Nauliza tu mkuu

Base langu hiloooo. Uswahili mwingiii hatariiii. Chezea kinondoni.
 
Inasema kuwa mwanaume ni halali kuwa na mnyamakazi a.k.a mchepuko lakini kwa mwanamke ni dhambi
 
Binadamu sisi ni WAZITO jamaniii, hasa linapokuja swala la kumsamehe Mwenza alichepuka au kuchepukiwa kisha akaja na madhara kama mimba au ugonjwa..., Amakweli hapo lazima Neema ya Mwenyezi Mungu ihitajike sana la sivyo itabaki stori tu au Majanga.

Shukrani za dhati zimwendee Lara 1 mtoa Mada na amenigusa sana. TUBADILIKE JAMANIII MICHEPUKO SIO DILI!!!

Ahsanteni Sana na Mungu Awabariki na Kuwatia Nguvu ya kuyashinda hayo Majaribu. Amina

Aaaaaawwwww, so sweet! sikosagi wafuasi mimi. Nashukuru Mungu. Heheheeee!
 
Lara una sauti tamu. Hawa airtl wanankatisha uhondo... Bado niko mwanzoni

Hahahahaa! Jamani hata kama ndo kunivika kilemba cha ukokaaa huku kumezidi, Kwaya zote nilitimuliwaa kwa ajili ya huu msauti, i always had passion for redio, wakisikia tu hii sauti ya 17 wanasema baaaaaaas, unauwezo wa kuchanganua mambo ila huo msauti kwa kweli hapana.

Too bad imebidi nije nayo hivo hivo.
 
Kubwa la maadui jeshi la mtu mmoja nimependa saut yako ukianzisha online church ntakuwa member Wako mzuriii

Halleluyah! Sauti imejua kuniwazaaa hiii. Basi hakuna sauti ya kichina. Sikosagi wa kunipa moyo. Thanks.
 
MWANZO MGUMU JAMANI MSIONE MASIHARA MWANZO MGUMUUUU SANAA. USIPOACHA MWANZO HUACHI TENAAAA.

Thanks for the feedback, sawa quality ya audio ni ndogo nitafanyia hilo kazi. Sauti ndugu zangu ndo alionipa Mungu, hatuna namna zaidi ya kunivumilia tu.

ALL IN ALL MAMBO BADO MAGUMUUUU. Mwanga hauonekani. Ila nashukuru views ziko poa, wengine sababu tunajuana wote watu wazima mnanionea aibu tu kuniambia mambo si mambo. Ila nawaahidi msinikatie tamaa. Najifunza the hard way.

I thought i could do anything, perhaps not, perharps natakiwa kuumiza kichwa zaidi na zaidi NITOKE VIPIIII. All in all ill keep trying herder and harder. Hata story 2 za mwanzo kabisaa mimi kuandika zilikuwa TOTAL FLOP i gave up, then mwaka unaofata nikaanza tena and mnajua nini kilifata.

Nawapenda sanaa, Hallelujah!.
 
Mh! Mungu haishiwi miujiza, na anawatenda kazi wa kila aina.

Mentor mtumishi mwingine ameongezeka kundini.
 
Back
Top Bottom