Mkeshahoi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2009
- 2,469
- 281
Chukulia Bibi wa karibu miaka 100, anakula fegi, anakula mtungi na anangonoka bila shida.....!! anakamata tenda za kutosha kufunda wanawake wanaoolewa na wanawake wanohitaji kuimariasha ndoa zao....!!
Nilipomwona ktk luninga akielezea maisha yake... nilimpongeza(kimoyomoyo)kwani ni mtu ambaye ana furaha katika maisha yake!!! Ila penye bold hapo... nimejiuliza bila majibu nini siri ya mafanikio yake katika nyanja hiyo, kwa umri alionao..?!
mwamchukuliaje mtu wa aina hii?!Elimu plz!!:A S 39:
Nilipomwona ktk luninga akielezea maisha yake... nilimpongeza(kimoyomoyo)kwani ni mtu ambaye ana furaha katika maisha yake!!! Ila penye bold hapo... nimejiuliza bila majibu nini siri ya mafanikio yake katika nyanja hiyo, kwa umri alionao..?!
mwamchukuliaje mtu wa aina hii?!Elimu plz!!:A S 39: