Hapo tatizo inaonekana liko kwa mwanamke, kwanza mavazi aliyovaa ni rahisi mno kutongozwa na jemba nyingine kwani kaanika mapaja na ******, sasa braza atakuwa ameona wanaume wako wanampapasia kwenye makalio ya mke wake na mke katulia braza akaona wapi uwezo wake ni kumpiga mke wake na siyo wapapsaji. Shame on you all mnaowaachia wake zetu kutoka uchi uchi mitaani mkidanganywa zaidi na shetani kuwa "baby umependeza" yaani wewe braza unakuwa zumbukuku kwa kuruhusu mkeo aanike hifadhi yako. Acheni maisha ya kuiga kwenye Tv