afande kifimbo
JF-Expert Member
- Aug 31, 2015
- 6,303
- 2,728
ya nini kudanganya kuwa unafanya kazi sehemu fulani....af pia huyo asubiri aolewe nawenye pesa wapo tu.....uboya huo we mchane kama uko hivi af uone kama kakupendaau la
Hawa walala hoi ninaowaona wakioa kila siku sijui nao wanadanganya hivihivi!!tatizo hamkubaligi walala hoi,
sasa ili tuwapate lazima tuwaingie kwa swaga za kipapaa,
ukija kujua mie ni muuza genge ni too late na "utamu na urod@" ushatoa,
Kugongwa ni jambo moja, kudanganywa ni jambo jingine.Hakugongwa kabla ya harusi kama ndio sasa alichokimbia ni nini