Ground Zero
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 342
- 95
Bibi ambaye hakutaka kutaja jina lake kwa madai kwamba sharti apewe chochote amekutwa akiwa ameweka kizuizi kwenye barabara inayopita mbele ya nyumba yake eneo la Mabibo Hostel, Ubungo jijijini Dar na kutoza kiasi cha shilingi 500 kwa waendesha pikipiki na magari. Alipoulizwa ni kwa nini ameweka kizuizi alidai kuwa anakusanya fedha kutoka kwa wenye magari na pikipiki ili aweze kuweka kifusi cha mchanga.
Je serikali inajua hilo?kila mtu akiweka barrier na kutoza kodi nchi itatawalika?Itakumbukwa wiki iliyopita Mh Spika naye aliamua kufunga barabara kule sinza japo yeye hakutoza ushuru.
Nawasilisha
GZ
Je serikali inajua hilo?kila mtu akiweka barrier na kutoza kodi nchi itatawalika?Itakumbukwa wiki iliyopita Mh Spika naye aliamua kufunga barabara kule sinza japo yeye hakutoza ushuru.
Nawasilisha
GZ