We kalia ujoni kisomo wako, kiingereza kiiingi, kireeefu, lkn ukija uchaguzi, tufanze, hata magufuli aende ukawa ukafanyika uchaguzi wa raisi wa ukawa, ujue huyo mamvi na mwingine yeyote atakaejitokeza, atabakia na manundu kwenye uso wake wa kisiasa. ..