Biashara zasimama Kariakoo

Watanzania wanapenda matukio tu!!

Ndivyo hivyo tulivyo .... bado tuko washamba washamba!!
 
Niko hapa mtaa wa Aggrey kila mtu yuko bize na mishe zake kama kawaida.
Acha maneno, bahati yako nko mkutanoni... ngekuja piga picha hapo Aggrey nithibitishe... Anyway, njoo hapa ujionee jinsi watu walivyo na imani na Mh. Rais
 
Watu wamezuiwa wasifungue maduka leo, usipende kupotosha
 
Acha maneno, bahati yako nko mkutanoni... ngekuja piga picha hapo Aggrey nithibitishe... Anyway, njoo hapa ujionee jinsi watu walivyo na imani na Mh. Rais

Siwezi kupoteza mda wangu nije kusimama hapo. Natafuta pesa,najua unasubiria kuwalamba viatu wakupe pesa.
 
Kaa uzoee JF kwa muda utagundua unatomboka ujinga wa FB ambao hauna nafasi hapa
 
Lazima utakua mpiga dili tu,maana si kwapovu hilo mkuu
 
kama huna nauli piga mbizi, sijaleta tetemeko, sitawajengea nyumba, sitagawa chakula, serikali haina shamba. Kipenzi cha watu
Ukweli lazima uzungumzwe ili nchi isonge,
 
Tanzania mpya au Tanzania ya enzi za Nyerere imerudi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…