Biashara zangu utotoni hadi uzeeni

Biashara zangu utotoni hadi uzeeni

Mkuu kwa umri wako ninakushauri ufanye tathmini biashara gani unayoimudu katika hizo ulizowahi kufanya kisha uifanye kwa ubora wa hali ya juu. Kupitia hii taarifa yako hakuna biashara uliyodumu nayo hata kwa miaka 5. Hii inakupunguzia kuaminika.
 
Kwanini usifocus kwenye biashara moja mkuu yaani kila mwaka bashara mpya hata biashara moja ya kukutambulisha vizuri unakuso
Vipodozi ndo nazeekea. Tanzania ndogo lifananisha na china au USA, ukiwa na wateja wachache,changanya biashara
 
Mkuu kwa umri wako ninakushauri ufanye tathmini biashara gani unayoimudu katika hizo ulizowahi kufanya kisha uifanye kwa ubora wa hali ya juu. Kupitia hii taarifa yako hakuna biashara uliyodumu nayo hata kwa miaka 5. Hii inakupunguzia kuaminika.
vipodozi nimejikita
 
Back
Top Bottom