miss personal cook
Member
- Apr 4, 2019
- 81
- 90
- Thread starter
- #21
Weka tu oda yatakufikia siku yoyoteNna hamu ya Kande Jamani
Siku ukipita Ubungo uniletee
Sent from my TA-1053 using JamiiForums mobile app
Weka tu oda yatakufikia siku yoyoteNna hamu ya Kande Jamani
Siku ukipita Ubungo uniletee
Vipi ulifanikiwaHello wapendwa karibuni mniungishe katika biashara yangu mpya nipo kutafuta mtaji wa kuanzisha catering ya kisasa ila nimeona nianzie huku kwanza.
Bei zangu ni kama hivi:
Makande + salad + parachichi kidogo bei 3500.
Makande + fried beef + parachichi kidogo bei 5000.
Kwa vile bado nafanyia online kuna gharama kidogo za kukuletea(delivery) kuanzia sh 2000.
Karibuni sana mniungishe
Karibuni PM
View attachment 1591113View attachment 1591114View attachment 1591115View attachment 1591116
Sent from my TA-1053 using JamiiForums mobile app
Wapenzi wa mlenda pia upo toa tu oda yakoView attachment 1595296
Usimbandue tu my wangu anapambana zake![]()
Mi bado nafanyia online mkuu na deliver tu ila nipo kwenye process za kutafuta sehemu maalumElezea upo kijichi kuna watu wanaweza kufika kula kwako, weka mawasiliano biashara sio hadi PM haukuona yule Hornet anavotuuzia kadet na location alitoa tulipoenda kununua hatukusema tumesoma tangazo jf, tulinunua na kuondoka.
View attachment 1601435bibie weka namba kwenye posti yako juu kuleWakuu karibuni mnipe oda za kesho za makande matamu sana.
Kesho bei ya ofa makande tupu sh 2000 na delivery 2000 popote unakelewa yakiwa bado ya moto kabisa
Sent from my TA-1053 using JamiiForums mobile app
Makande ni matamu asikwambie mtuView attachment 1601435