miss personal cook
Member
- Apr 4, 2019
- 81
- 90
Hello wapendwa karibuni mniungishe katika biashara yangu mpya nipo kutafuta mtaji wa kuanzisha catering ya kisasa ila nimeona nianzie huku kwanza.
Bei zangu ni kama hivi:
Makande + salad + parachichi kidogo bei 3500.
Makande + fried beef + parachichi kidogo bei 5000.
Kwa vile bado nafanyia online kuna gharama kidogo za kukuletea(delivery) kuanzia sh 2000.
Karibuni sana mniungishe
Karibuni PM
Sent from my TA-1053 using JamiiForums mobile app
Wapenzi wa mlenda pia upo toa tu oda yakoView attachment 1595296
Bei zangu ni kama hivi:
Makande + salad + parachichi kidogo bei 3500.
Makande + fried beef + parachichi kidogo bei 5000.
Kwa vile bado nafanyia online kuna gharama kidogo za kukuletea(delivery) kuanzia sh 2000.
Karibuni sana mniungishe
Karibuni PM
Sent from my TA-1053 using JamiiForums mobile app
Wapenzi wa mlenda pia upo toa tu oda yakoView attachment 1595296