Biashara yangu ya Bundi imenidodea

Tuuze kwa mnada hiyo midege halafu hela tujengee madarasa
 
Miongoni mwa watu wachache sana, nimeonana nao na wanafahamu siri hii Ni Wangari Maathai
Bujiku ww una akili...sijui umezidi utani? Ahahaha....nakukumbuka enzi zile tunashindwa vihesabu unakuja kutusolvia fast🤣🤣! Tukawa tunasema huyu kaka kwan anasoma hapa au..wanajibu ah hawa wahuni tu...hahaha siku nakufumania ifm🤣🤣 shenz kwel ww
 
Hah hah hahhhhhh, Kuna mtu nilikutana naye kwenye darasa la Masters, sikuwa naingia darani tukaonana kwenye mtihani, enzi hizo nafanya kazi hazina, akaenda kunitangaza ofisini kwamba mi ni mpelelezi, nikachukiwa ofisi nzima🤣
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…