As Salafiyyu91
JF-Expert Member
- Jan 11, 2014
- 2,537
- 2,544
uchochezi huo, utapimwa mkojo!!!Mijibundi yenyewe nasikia ni size ya drimlaina,eabasi na bombadia! Ni kweli?
we jamaa wewe,,,Sasa babu kaniongezea bundi mwingine mzee.... nasikia Ana miaka 50. Hawa nilionao ni mzigo kwangu, hamna biashara, babu naye ananiongezea lijibundi zeeèeee..... si balaa hili?
Bundi limepakwa rangi ya kucha kwa mamilioni. Mweee
Wazee wa code nawaonaMijibundi yenyewe nasikia ni size ya drimlaina,eabasi na bombadia! Ni kweli?
Hawa hapooHebu weka picha mkuu niwaone, naweza nikachagua hapo wangu nane...
hahaaaaaa si kuna mmja ulimpeleka kwa jirani vipi karudi?Nimenunua mijibundi mikubwa kwa midogo kwa mbwembwe nyingi sana. Kwa mikogo na mwendo wa madaha nilijigamba kila kona huku nikiwatambia wapinzani wangu kuwa naenda kuwa juu kama Pierre Liquid Konki Fayaaaaa.
Matarajio yangu ilikuwa niipeleke mibundi yangu nchi jirani na za mbali, hasa Bollywood na Uchinani.
Nimeshindwa, wamesema hawataki uchawi kwenye nchi yangu.
Mibundi mikubwa imelala tu inapigwa na vumbi na kuzeeka, vibundi vidogo navituma mikoani lakini navilisha kwa gharama kubwa na havinipi faida, watu hawana hela nashindwa kuwapiga chuma ulete.
Bora ningekuwa msikivu ningechimba visima wanangu wapate maji kuliko biashara hii kichaa ya uchawi wa mabundi.
Mapovu ruksa
Bundi wako ulitumia janja janja sana kuwaingiza sokoni. Mara wawameze KASUKU wa kijivu, mara wajinyakulie Nyama ya mbuzi ya CHOBBO INVESTMENT, vurugu tupu...!!!Nimenunua mijibundi mikubwa kwa midogo kwa mbwembwe nyingi sana. Kwa mikogo na mwendo wa madaha nilijigamba kila kona huku nikiwatambia wapinzani wangu kuwa naenda kuwa juu kama Pierre Liquid Konki Fayaaaaa.
Matarajio yangu ilikuwa niipeleke mibundi yangu nchi jirani na za mbali, hasa Bollywood na Uchinani.
Nimeshindwa, wamesema hawataki uchawi kwenye nchi yangu.
Mibundi mikubwa imelala tu inapigwa na vumbi na kuzeeka, vibundi vidogo navituma mikoani lakini navilisha kwa gharama kubwa na havinipi faida, watu hawana hela nashindwa kuwapiga chuma ulete.
Bora ningekuwa msikivu ningechimba visima wanangu wapate maji kuliko biashara hii kichaa ya uchawi wa mabundi.
Mapovu ruksa
Tatizo sio nyota Mkuu.. Tatizo Ww ni mbishi.. Tulikuona tokea ukiwa waziri ulivyokuwa ukikurupuka ulivyo Pewa u number 1 tukakuonya hukusikiaKibiashara changu cha bundi hakiendani na mambo yenu ya uchumi wa kati..... nadhani tatizo nyota
utajiri uliogeuka shubiri
porojo tu hizombona nasikia imeingiza faida bilioni 28?
huyu profesa maji manene mbona ananivua nguo hadharani?Tatizo sio nyota Mkuu.. Tatizo Ww ni mbishi.. Tulikuona tokea ukiwa waziri ulivyokuwa ukikurupuka ulivyo Pewa u number 1 tukakuonya hukusikia
Sasa Hiyo mijibundi Ulitaka kubebea nyuma upaleke abroad si mwehu ww???
Haya professor katoa ripoti kuwa unaendesha hyo mijibundi kwa hasara
better to resign bro
Sent using Jamii Forums mobile app