Biashara yangu ya Bundi imenidodea

Biashara yangu ya Bundi imenidodea

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
76,579
Reaction score
161,430
Nimenunua mijibundi mikubwa kwa midogo kwa mbwembwe nyingi sana. Kwa mikogo na mwendo wa madaha nilijigamba kila kona huku nikiwatambia wapinzani wangu kuwa naenda kuwa juu kama Pierre Liquid Konki Fayaaaaa.

Matarajio yangu ilikuwa niipeleke mibundi yangu nchi jirani na za mbali, hasa Bollywood na Uchinani.

Nimeshindwa, wamesema hawataki uchawi kwenye nchi yangu.

Mibundi mikubwa imelala tu inapigwa na vumbi na kuzeeka, vibundi vidogo navituma mikoani lakini navilisha kwa gharama kubwa na havinipi faida, watu hawana hela nashindwa kuwapiga chuma ulete.

Bora ningekuwa msikivu ningechimba visima wanangu wapate maji kuliko biashara hii kichaa ya uchawi wa mabundi.

Mapovu ruksa
 
Usinicheke nisaidie mwenzenu naangamia. Nilisahau kuwa kila mchimba shimo huingia mwenyewe. Nimeharibu na kuroga biashara za wenzangu, kumbe wangefanikiwa kwenye biashara zao na kupata fedha wangeweza kutumia uchawi wangu wa bundi na mimi in return ningepata pesa
 
Nimejaribu kuku decode vizuri sana bujibuji kijana wa Mwakaleli; sasa ilikuaje dada yako ndio ashikilie show leo wakati boss wake kaenda nje huko? Sijui Sweden na mkulu nae yupo mikoani; kweli CAG sio nafasi ndogo, nimebadiri mawazo, nimemwambia mwanangu asome Uhasibu, kazi ya heshima kabisa.
 
Kwi kwk kwi badilisha uuze mwewe😁😁...ulikuja kwa mbwembwe sana unalooo babu weee

piere atabaki kuwa juu tu
Sasa babu kaniongezea bundi mwingine mzee.... nasikia Ana miaka 50. Hawa nilionao ni mzigo kwangu, hamna biashara, babu naye ananiongezea lijibundi zeeèeee..... si balaa hili?
Bundi limepakwa rangi ya kucha kwa mamilioni. Mweee
 
Sasa babu kaniongezea bundi mwingine mzee.... nasikia Ana miaka 50. Hawa nilionao ni mzigo kwangu, hamna biashara, babu naye ananiongezea lijibundi zeeèeee..... si balaa hili?
Bundi limepakwa rangi ya kucha kwa mamilioni. Mweee


😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
 
Nimenunua mijibundi mikubwa kwa midogo kwa mbwembwe nyingi sana. Kwa mikogo na mwendo wa madaha nilijigamba kila kona huku nikiwatambia wapinzani wangu kuwa naenda kuwa juu kama Pierre Liquid Konki Fayaaaaa.
Matarajio yangu ilikuwa niipeleke mibundi yangu nchi jirani na za mbali, hasa Bollywood na Uchinani.
Nimeshindwa, wamesema hawataki uchawi kwenye nchi yangu.
Mibundi mikubwa imelala tu inapigwa na vumbi na kuzeeka, vibundi vidogo navituma mikoani lakini navilisha kwa gharama kubwa na havinipi faida, watu hawana hela nashindwa kuwapiga chuma ulete.
Bora ningekuwa msikivu ningechimba visima wanangu wapate maji kuliko biashara hii kichaa ya uchawi wa mabundi.
Mapovu ruksa
😛😛😛😛😛😛 na ukaitengenezea mnvua siku unaipokea. Kazi unayo. mvumilivu hula mbivu mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom