Viatu vingi hasa vya kike ni range ya 3200 hadi 4500 kwenye katoni, ambayo inakua na viatu 24 au 36. Lakini yebo ndo zipo za chini ya 3500 nyingine 1800 lakini vinakaa 60 kwenye kiroba. So discussion inaweza kuwa ndefu kidogo kuanzia hapa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.