Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,999
- 24,175
Anabyolewa zivu na mtu ambaye ni mume wala boyifurendi wala gelofurendi
mmmh. mm nataka kukuwax free of charge
hiyo si mambo ya waxing bikini line na wewe.........
Matango ya Monsanto, yanasabisha upungufu wa *****. Yaani huko sehemu nyeti panakuwa kipara. Athari zimejitokeza teyari nchi za America na Ulaya Acheni kula pickles pia maana zinatengenezwa na hayo matango! Wanatumia dawa gani katika ulimaji? Wasije wakafanya Africa iwe dumping ground ya hiyo dawa! Lakini huenda ni habari njema kwa wanaopenda kuwa vipara huko mahala! Ila biashara ya 'waxing' inaweza kufa kabisa
Pretamaeneo gani sasa.....armpits.....legs.....bikini line au arms.........?
Boflo naona sasa unafanya baby sitting kwa baby mtoto na baby mzee looh hongera kwa kulea.Matango ya Monsanto, yanasabisha upungufu wa *****. Yaani huko sehemu nyeti panakuwa kipara. Athari zimejitokeza teyari nchi za America na Ulaya Acheni kula pickles pia maana zinatengenezwa na hayo matango! Wanatumia dawa gani katika ulimaji? Wasije wakafanya Africa iwe dumping ground ya hiyo dawa! Lakini huenda ni habari njema kwa wanaopenda kuwa vipara huko mahala! Ila biashara ya 'waxing' inaweza kufa kabisa
Source: Monsanto Cucumbers Cause Genital Baldness -- Immediately Banned in Nova Scotia | The Lapine
View attachment 96187
sehemu bomba ambayo ni unisex hata mm nakwenda niBoflo naona sasa unafanya baby sitting kwa baby mtoto na baby mzee looh hongera kwa kulea.
Hiyo waxing mie naipenda sana na huwa naishia mikononi na miguuni kwenye arm pit au private parts anashuhulikia baba nanihii ambaye huwa anafyeka kichaka kabla ya kupanda mbegu heheheee, sio afyeke mwingine kupanda na kumwagilia afanye mwingine. Nipe maeneo mapya ambayo wanafanya hizo waxing kwa hapa Dar pls maana kijiwe changu kimefungwa tangu mwezi wa 3 mwaka huu wamehama nchi.
sehemu bomba ambayo ni unisex hata mm nakwenda ni
Chick salon 0713 320 307 iko samora na price ni reasonable Preta. Njoo bac
Sunday wanakuwa closed, na wana wateja wengiThanks for info, nitadhuru siku za week ends au hawafanyi kazi on weekends?
Ila ukisema unisex unamaanisha wanahudumia wateja wanawake na wanaume kwa wakati mmoja?
Hope hakuna camera, maana mambo ya kuja kuanikana mtandaoni kama demo inakuwa sio, pls Boflo info.
Ndugu yangu we, urembo huo!kazi zingine kaaazi kwelikweli!
Na wewe unafanya waxing ya mwili mzima?
sehemu bomba ambayo ni unisex hata mm nakwenda ni
Chick salon 0713 320 307 iko samora na price ni reasonable Preta. Njoo bac