Biashara ya vitenge Kigoma

kusafirisha unaongea na makonda wa mabasi kama Saratoga au adventure hizi gari hupiga route za Dar kigoma ni rahisi kusafiri na mzigo hasa wkend days watakuchaji kwa boksi na mzigo wako utafika salama lkn uwe na uhakika wa njia yako
Ila ukifika dar polisi lazima wakudai risiti. Kama huna wanasema ni mali ya wizi hadi utoe ya kiwi
 
Wenye uzoefu wa biashara hii, hoteli za bei nafuu Kigoma, sehemu ninnayoweza kupata mzigo kwa bei ya jumla na mtaji kiasi gani kuanzia?
jitoe ufahamu siku ya kwanza na usiende kununua wala kuanza biashara anza kuangalia a to z.kisha ukipata kujua ufanye wewe kama wewe,hapa kila mtu hatajifanya mjasilia mali
 
Wenye uzoefu wa biashara hii, hoteli za bei nafuu Kigoma, sehemu ninnayoweza kupata mzigo kwa bei ya jumla na mtaji kiasi gani kuanzia?
Ulishaanza kununua Vitenge?
Kama bado Mimi naleta Vitenge hapo Dar...
Ni Wax Original toka Congo, Burundi na Nigeria!
Ni PM tuongee biashara.
 
Jmn natamani ungenisaidia namba ya mwenye Lori hta mmoja yaani nashida hadi kwny utosi namba yngu hyo 0786106281
 
Nimefanya biashara hii ,

Unachukua mzigo burundi to drc kwa bei chee kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…