TensorFlow
JF-Expert Member
- Feb 11, 2020
- 1,067
- 1,357
Nafikiria kufungua duka la kuuza vifaa vya ujenzi, nalenga vitu 3: cement, nondo, na mabati. Hii biashara nafikiria kuifungua hapahapa Dar.
Wazoefu nipeni ushauri natakiwa kuzingatia vitu gani?
Wazoefu nipeni ushauri natakiwa kuzingatia vitu gani?