Rosicky
JF-Expert Member
- Sep 21, 2015
- 1,159
- 1,944
Habarini
Katika harakati za kutafuta maisha nimepata wazo la kufanya biashara ya viazi ulaya dar, kwa sababu moja kuu dar kuna high demand ya viazi ulaya kwa mahitaji ya chips na kadhalika
Jf kuna watu wengi sana wenye ujuzi na maarifa ya hii biashara ninayotaka kuiendea sio mbaya ukinisaidia kwa ushauri na mapendekezo ya msingi ya kuweza kuimudu hii biashara."Sharing is caring"
Pia kama unawazo tofauti na langu feel free kusema the door is open, wanadamu tunaishi kwa kutegemeana.
My take
Ningependa kufahamu sehemu ninayoweza kupata mzigo mzuri na bei yake??
Gharama ya usafiri na vibali vya usafirishaji kama vinahitajika??
Changamoto zilizopo kwenye hii biashara??
N.B Wasomi tumeambiwa tujiajiri mimi ni nani hata nipinge.
Katika harakati za kutafuta maisha nimepata wazo la kufanya biashara ya viazi ulaya dar, kwa sababu moja kuu dar kuna high demand ya viazi ulaya kwa mahitaji ya chips na kadhalika
Jf kuna watu wengi sana wenye ujuzi na maarifa ya hii biashara ninayotaka kuiendea sio mbaya ukinisaidia kwa ushauri na mapendekezo ya msingi ya kuweza kuimudu hii biashara."Sharing is caring"
Pia kama unawazo tofauti na langu feel free kusema the door is open, wanadamu tunaishi kwa kutegemeana.
My take
Ningependa kufahamu sehemu ninayoweza kupata mzigo mzuri na bei yake??
Gharama ya usafiri na vibali vya usafirishaji kama vinahitajika??
Changamoto zilizopo kwenye hii biashara??
N.B Wasomi tumeambiwa tujiajiri mimi ni nani hata nipinge.