Mambo vipi wanajamvi! MTU wenu Leo Niko hapa kuulizia kuhusu biashara ya viazi kutoka huko vitokapo ( iringa,mbeya) mpaka kuingia sokoni Mabibo Dar es salaam. Kwa kuanza.
1_bei ya gunia moja shambani.
2-gharama za usafirishaji.
3-je nahitajika kuwa na leseni?
4-mbinu za ujanja ujanja sokoni
5-bei ya gunia sokoni.
Mwisho kabisa Nina TSH 1.2 milioni nataka kuanza biashara hii , either nikiwa Kama dalali au mfanyabiashara mpokezi kutoka kwa madalali na kuuza hapahapa sokoni!
Hili nimelileta ili kusaidiwa coz hapa ndani uwanjani hakifeli kitu.
Nawasilisha.
MTU wenu Sela son
1_bei ya gunia moja shambani.
2-gharama za usafirishaji.
3-je nahitajika kuwa na leseni?
4-mbinu za ujanja ujanja sokoni
5-bei ya gunia sokoni.
Mwisho kabisa Nina TSH 1.2 milioni nataka kuanza biashara hii , either nikiwa Kama dalali au mfanyabiashara mpokezi kutoka kwa madalali na kuuza hapahapa sokoni!
Hili nimelileta ili kusaidiwa coz hapa ndani uwanjani hakifeli kitu.
Nawasilisha.
MTU wenu Sela son