mkuu kwanza hongera kwa ubunifu.viatu vinalipa kweli kama una mtaj hata wa m1 baada ya mwaka unaweza kuwa na mtaj mkubwa sana .me nina biashara nyigine lkn baada ya vyuma kukaza. niliweka kimeza nje ya frem nikaanza na mtaji wa elf 70 nafata moshi naleta arusha vya mtumba. kuna kiatu unanunua elfu 5 kikiwa kichafu ukiosha unauza elf 20, kwa sasa mpaka natamani nihachie frem nibaki nje maana sikosi faida elfu 20 mpaka 30 kwa siku.View attachment 1583207View attachment 1583208View attachment 1583210View attachment 1583211View attachment 1583214View attachment 1583216
Akuna biashara ya hivyo boss ipo siku atapata 2000 ipo siku atapata 20000 ipo siku atapata 40000 ipo siku akuna kabisa ayo ndio maisha ya biashara boss usiingie kwa kufikiri kila siku utapata faida tumkuu kwanza hongera kwa ubunifu.
Lakin tuongee uhalisia hivi ni kweli unauza kila siku? na kila siku hiyo 20++ inaingia?
hapo sawa nimekuelewa mkuu..Akuna biashara ya hivyo boss ipo siku atapata 2000 ipo siku atapata 20000 ipo siku atapata 40000 ipo siku akuna kabisa ayo ndio maisha ya biashara boss usiingie kwa kufikiri kila siku utapata faida tu
Ipo siku utapata hasara kubwa paka mwenyewe unashangaa mwenyewe biashara ngumu sana ili utoboe inakupasa kuwa na imani malengo na uvumilivu wa hali ya juu
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Hii comment ilitakiwa iwe uzi kabisa.viatu vinalipa kweli kama una mtaj hata wa m1 baada ya mwaka unaweza kuwa na mtaj mkubwa sana .me nina biashara nyigine lkn baada ya vyuma kukaza. niliweka kimeza nje ya frem nikaanza na mtaji wa elf 70 nafata moshi naleta arusha vya mtumba. kuna kiatu unanunua elfu 5 kikiwa kichafu ukiosha unauza elf 20, kwa sasa mpaka natamani nihachie frem nibaki nje maana sikosi faida elfu 20 mpaka 30 kwa siku.View attachment 1583207View attachment 1583208View attachment 1583210View attachment 1583211View attachment 1583214View attachment 1583216
Unachukua moshi sehemu gani mkuu.viatu vinalipa kweli kama una mtaj hata wa m1 baada ya mwaka unaweza kuwa na mtaj mkubwa sana .me nina biashara nyigine lkn baada ya vyuma kukaza. niliweka kimeza nje ya frem nikaanza na mtaji wa elf 70 nafata moshi naleta arusha vya mtumba. kuna kiatu unanunua elfu 5 kikiwa kichafu ukiosha unauza elf 20, kwa sasa mpaka natamani nihachie frem nibaki nje maana sikosi faida elfu 20 mpaka 30 kwa siku.View attachment 1583207View attachment 1583208View attachment 1583210View attachment 1583211View attachment 1583214View attachment 1583216
Mtaji gani boss hii biashara unaweza kuanza pasipokuwa ata na mia ni wewe tu kuamuaSisi tusio na mtaji tunafanyaje au tuunganishe nguvu
Mkuu hapo Lango siku ya soko ni siku gani??Mimi nauza special ila mtumba nautamani sana alafu miezi hii naona lango viatu vizuri sana
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Umeongea kama vile ni rahisi sana mzeeeBiashara ya viatu nyoko sana mi nilinunua kiatu kwa chinga alianzia elfu 25 nilikua sitaki tu kununha ila ningekua na hela ningempa...akanikazia nikaishia kumpa elfu 10 nikaona nimempiga.Siku nimeenda karume kwa ishu zingine nikakuta wanafungua mabelo kucheki mzee vinauzwa elfu tatu hadi elfu tano top.
Na kiatu hichohicho ukienda makumbusho wanauza elfu 30 kudadadeki msiwadharau machinga watembeza viatu wanapiga hela mazee imagine elfu 10 mtaji pair 3 na ukiuza kwa haraka ndo unalamba elfu 30 , japo vingi wanaanzia bei ya juu akiuza elfu 10 unaona umempiga.
Sijui graduates tunafeli wapi mitaji inaishia kwenye simu na bundle insta afu tunasubiria ajira for f**ng 5 years in vain
Kila siku ila siku wanazochana ni jumatatu na alhamisi.Mkuu hapo Lango siku ya soko ni siku gani??
Me naomba tuunganishe nguvu mkuuSisi tusio na mtaji tunafanyaje au tuunganishe nguvu
Anza na kidogo ulicho nacho unafika mbali paka utashangaa mwenyeweMe naomba tuunganishe nguvu mkuu
Boss karibu mimi nipo mwanza natambua kuna wadau huku wapo dar watakusaidiaHivi simpo za kike dar sehemu gani wanauza
Nipo mwanza najua mwanza tu ila kwa dar uwa nasikia ni soko la karume ndipo wanachana sina uwakika vizurinaomba connection ya viatu vya mtumba daressalaam wanapochana mabelo mzee.....