Heshima mbele wakuu, nimekuwa na wazo kuhusu jinsi ya kujikwamua kiuchumi kwa vijana hapa nchini kwetu katika nyanja za biashara hasa kuhusu kufanya biashara kama wabia, yaani vijana kama 50 ambao wataaminiana, kufahamiana vizuri na kuwa na vision moja na kuanzisha kampuni kuendesha biashara yoyote watakayokubaliana kwa kuchangia mtaji wa walau Milioni 2 kila mmoja ambapo kwa watu 50 wataweza kupata mtaji wa Milioni 100 ambayo nahisi ni kiasi tosha kuanza kuanzisha kampuni ndogo endelevu kisha wao wakawa shareholders na hapo hapo wakaweza kujipatia ajira. Kwa wenye uzoefu, hili lina ugumu gani, hasara gani, faida gani hapa nchini?
Mkuu wazo hilo zuri sana vijana hatuelewi tu! Mimi nimeanza ushawishi kwa vikundi vya hisa badala ya kugawana fedha tuweke pamoja uwe mtaji mkubwa. Endapo watalikubali wazo langu vikundi hivyo 100 tutakuwa na 400m kwa kuanzia. Lengo litakuwa kuweka viwanda vya kusindika alizeti na kusaga na kufungasha nafaka.
Heshima mbele wakuu, nimekuwa na wazo kuhusu jinsi ya kujikwamua kiuchumi kwa vijana hapa nchini kwetu katika nyanja za biashara hasa kuhusu kufanya biashara kama wabia, yaani vijana kama 50 ambao wataaminiana, kufahamiana vizuri na kuwa na vision moja na kuanzisha kampuni kuendesha biashara yoyote watakayokubaliana kwa kuchangia mtaji wa walau Milioni 2 kila mmoja ambapo kwa watu 50 wataweza kupata mtaji wa Milioni 100 ambayo nahisi ni kiasi tosha kuanza kuanzisha kampuni ndogo endelevu kisha wao wakawa shareholders na hapo hapo wakaweza kujipatia ajira. Kwa wenye uzoefu, hili lina ugumu gani, hasara gani, faida gani hapa nchini?
Mkuu Kukusanya watu wengi hao ni kazi ngumu sana, Make hapo unatafuta mapatina wa Biashara so mkuu njia nzuri ya kukusanya watu wa Kufanya nao Biashara ni hizi
1. Mlio soma nao Darasa moja au shule/chuo kimoja - Hawa utakuwa unawafahamu kitabia
2. Mnao sali/swali nao- Hapa napo unaweza pata kikundi imara
3. Mnao ishi nao Jirani/Mataa mmoja na kazalika- Hawa nao unaweza pata likundi make mnafahamiana vyema kwa Tabia ingawa si kwa undani sana
4. Ndugu/Jamaa/Marafiki- Unaweza pata watu wakufanya nao Biashara kupitia Ndugu zako,jamaa zako na marafiki
5. Wafanyakazi wenzako- Watu wengi wamejiunga kupata kukundi kwa kupitia njia hii ya kazini
Na njia nyingine nyingi tu, Ila si kwa kiwango cha hao watu 50 inatakiwa wasizidi kumi, MAKE HAO 50 UNAWEZA PATA MAMBA, KENGE NA MIJUSI,
Yes haikuwekwa nyama sawia...mfano faida na hasara za ubiaHii Mada ilikuwa ni Mada moja taam Sana na Nzuri kupindukia ila imekosa wachangiaji.
Sent using Jamii Forums mobile app
Heshima mbele wakuu, nimekuwa na wazo kuhusu jinsi ya kujikwamua kiuchumi kwa vijana hapa nchini kwetu katika nyanja za biashara hasa kuhusu kufanya biashara kama wabia, yaani vijana kama 50 ambao wataaminiana, kufahamiana vizuri na kuwa na vision moja na kuanzisha kampuni kuendesha biashara yoyote watakayokubaliana kwa kuchangia mtaji wa walau Milioni 2 kila mmoja ambapo kwa watu 50 wataweza kupata mtaji wa Milioni 100 ambayo nahisi ni kiasi tosha kuanza kuanzisha kampuni ndogo endelevu kisha wao wakawa shareholders na hapo hapo wakaweza kujipatia ajira. Kwa wenye uzoefu, hili lina ugumu gani, hasara gani, faida gani hapa nchini?