Biashara ya TOYO Au Kukodisha Maturubai.

mischa

JF-Expert Member
Mar 29, 2012
368
176
Habari Wana JF,

Baada ya kupigwa na ugumu wa maisha kila wazo naona lina bounce,

Ningependa kufanya biashara ya Kununua TOYO ile three wheel ya kubeba mizigo masokoni afu mwisho wa siku nipate pato,Je naweza jua zinauzwaje?na hesabu nnafanyaje mm na dereva?na changamoto ni zipi?

Kingine

Nimefikiria kununua turabai na kuzikodisha,je Changamoto zake ni zipi?

Ntashukuru sana.
 
Habari Wana JF,

Baada ya kupigwa na ugumu wa maisha kila wazo naona lina bounce,

Ningependa kufanya biashara ya Kununua TOYO ile three wheel ya kubeba mizigo masokoni afu mwisho wa siku nipate pato,Je naweza jua zinauzwaje?na hesabu nnafanyaje mm na dereva?na changamoto ni zipi?

Kingine

Nimefikiria kununua turabai na kuzikodisha,je Changamoto zake ni zipi?

Ntashukuru sana.
Miaka kadhaa badae, tupe mrejesho

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom