Mkuu nitashukuru sana..kuna dada mmoja anafanya hii biashara na ana duka mitaa ya kkoo Dar.
Natafuta namba yake nikurushie akupe technicalities za hii makitu
kuna dada mmoja anafanya hii biashara na ana duka mitaa ya kkoo Dar.
Natafuta namba yake nikurushie akupe technicalities za hii makitu
Mkuu i mean business kaka. Huko kwenye kutongoza sitafika kabisa kiongozi wanguIla usije kuishia mtongoza tu. manake vijana wa siku hizi mna gia kali kuliko manual cars.
Mkuu i mean business kaka. Huko kwenye kutongoza sitafika kabisa kiongozi wangu
Poa poa Kiongoziukishapata ma info yakutosha kuhusu hiyo biznari usisahau kuja kutumwagia mchele jamaa
Mkuu hekimatele kwanini usimkaribishe huyo dada hapa jamvini ili atu mwagie maujuzi naimani wengi watafaidika
Fufuka fuku. Mrejeshooo muhimuItapendeza nikiufufua huu uzi
Hakika