Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 29,483
- 40,498
Habari wananzengo!!!
Leo nakuja na hili wazo la biashara la 'online shop'
Kumekuwa na changamoto nyingi, hasa za kupata fremu ya duka maeneo mbali mbali. Na ikipatikana, bei inakuwa juu.
Kutokana na hiyo changamoto, unaweza kufanya kwa 'online shop'
Mahitaji
Leo nakuja na hili wazo la biashara la 'online shop'
Kumekuwa na changamoto nyingi, hasa za kupata fremu ya duka maeneo mbali mbali. Na ikipatikana, bei inakuwa juu.
Kutokana na hiyo changamoto, unaweza kufanya kwa 'online shop'
Mahitaji
- Lazima uwe na bidhaa ya kuuza (mzigo) i.e nguo, viatu, simu, mikoba n.k
- Uwe na fremu (ofisi), iwe umeijenga nyumbani kwako, umepanga n.k
- Fremu/ofisi, itengenezwe vizuri ionekane ni ofisi/ fremu ya duka
- Panga bidhaa zako vizuri kwa umaridadi mkubwa, kwenye fremu /ofisi yako.
- Uwe na laptop au simu nzuri ya kurekodi vitu vyako vyote vya dukani na kuvirusha mtandaoni; ni vizuri picha ya duka lote pamoja na bidhaa ziwe zinaonekana.
- Rusha kwenye ma-'group' mbali mbali ya kimtandao, pamoja na bei ya bidhaa husika.
- Anza kupokea oda, na wapelekee wateja.