Biashara ya mitumba

kinywanyuku

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2015
Posts
3,861
Reaction score
3,096
Wadau salami zenu habari za jpili nilikuwa nahitaji msaada kujua maeneo mazuri kwa hapa dar unayoweza kutembeza mtumba wako ukatoka Bei nzuri maana nimezoea sinza sahizi pameshavamiwa,nguo za kiume zile track nauza, maana naona Kama mtaji unataka kukata
 

Zimebaki ngapi ninunue zote ili upate na nauli urudi kwenu mtwara ukalee wajukuu?
 

No Free Education.
Toa hela upate elimu.
Sisi tuende shule kwa kulipa mamilioni ya pesa halafu nyie mnataka tuwape ujuzi, maarifa na elimu bure.
Elimu gani ya motivation
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…