karv
JF-Expert Member
- Dec 26, 2019
- 1,799
- 3,221
Habari wana JF
Mimi ni kijana mtafutaji kama walivyo wengine wengi katika pita pita zangu nikaona fursa
Fursa yenyewe ni kuuza nafaka ambazo zimeshaongezwa thamani tayari
Ili kufanikisha hilo nikaona ni bora nianze na mahindi pamoja na mpunga kwanza wakati nasubiri mtaji kukua
Sehemu ya kupata malighafi kuprocess nafaka na masoko vyote nimepitia na nishaweka sawa tayari
TATIZO: changamoto ambayo nimeona nije kuwashirikisha ni katika swala zima la kufungasha product yangu kwani nikiyekubaliana nae kuprocess iyo malighafi hana viroba wala mashine ya kushonea viroba hivyo
OMBI: Nilikuwa naomba kwa yeyote mwenye kufahamu sehemu wanapouza mashine za kushonea viroba ivyo na pia wapi naweza pata viroba kwa ajili ya kufungashia bidhaa yangu na kama nitapata mtu wa kuwa anaviprint vizuri ili viwe na muonekano mzuri
SHUKRAN: Napenda kuwashukuru nyote kama mtanisaidia na mawasiliano yao itanifaa zaidi ahsanteni
Mimi ni kijana mtafutaji kama walivyo wengine wengi katika pita pita zangu nikaona fursa
Fursa yenyewe ni kuuza nafaka ambazo zimeshaongezwa thamani tayari
Ili kufanikisha hilo nikaona ni bora nianze na mahindi pamoja na mpunga kwanza wakati nasubiri mtaji kukua
Sehemu ya kupata malighafi kuprocess nafaka na masoko vyote nimepitia na nishaweka sawa tayari
TATIZO: changamoto ambayo nimeona nije kuwashirikisha ni katika swala zima la kufungasha product yangu kwani nikiyekubaliana nae kuprocess iyo malighafi hana viroba wala mashine ya kushonea viroba hivyo
OMBI: Nilikuwa naomba kwa yeyote mwenye kufahamu sehemu wanapouza mashine za kushonea viroba ivyo na pia wapi naweza pata viroba kwa ajili ya kufungashia bidhaa yangu na kama nitapata mtu wa kuwa anaviprint vizuri ili viwe na muonekano mzuri
SHUKRAN: Napenda kuwashukuru nyote kama mtanisaidia na mawasiliano yao itanifaa zaidi ahsanteni