Habari ya JF, Naomba kufahamu jinsi ya kuanzisha mradi wa mashine za kukoboa na kusaga nafaka kama mahindi na mpunga . Aina za mashine , changamoto na utaratibu upoje ili niweze kuchukua hatua
Nawasirisha shukrani zangu kwenu wana JF
Mashine ya kusaga mahindi na kukoboa
Samahani wanajanvi. Naomba ufafanuzi nataka kuanzisha biashara ya kusaga na kukoboa mahindi. Hii biashara imesimamaje? Gharama za kuanzisha mashine zikoje? Kuna faida au hasara??www.jamiiforums.com
Sidhani kama ni biashara nzuri hasa kama unaishi mjini. Nilimuanzishia ndugu yangu kwa mashine mbili za kusaga, mbili za kukoboa na moja ya kuchekecha zote za umeme, biashara ikaanguka kutokana na soko dogo. Nikamshauri aingie kwenye kuuza sembe, yaani anunue nafaka, azisage na kufunga kwenye mifuko lakini pia ushindani ulikuwa mkubwa kiwanda kikafungwa.Habari ya JF, Naomba kufahamu jinsi ya kuanzisha mradi wa mashine za kukoboa na kusaga nafaka kama mahindi na mpunga . Aina za mashine , changamoto na utaratibu upoje ili niweze kuchukua hatua
Nawasirisha shukrani zangu kwenu wana JF