Biashara ya mananasi

LIZZYBETTY

Member
Joined
Jul 23, 2015
Posts
48
Reaction score
8
Habari za majukuu ndugu zangu,Nina mpango wa kufanya biashara ya kuuza mananasi lakini si na experiece nayo sana maana naona msimu wake umekaribia mwenye kujua vizuri biashara hii naomba anisaidie ni wapi nitapata kwa bei ya shambani,changamoto na faida ya biashara hii,na budget yake.........Natanguliza shughurani zangu
 
Nenda maeneo ya Kiwangwa Bagamoyo. Kule ndiko mananasi yanatoka kwa wingi. Hivyo unaweza kupata mwanga zaidi.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…