NONGWA
Senior Member
- Mar 10, 2012
- 142
- 116
Habari wana jamvi naomba msaada kwa walio na uzoefu katika biashara hii ya magodoro faida zake na biashara yake ikoje. Pia naomba kujua namna bora ya kuwa wakala katika makampuni hayo tajwa na vipi kuhusu mtaji wa kuanzia. Mi niko hapa DSM nataka kuanza hii biashara. Nitashukuru mkinipa mwanga wa hii biashara.