Lakini hebu tuelimishane..............unatoka na mahindi hapa hadi Kenya ina maana unawafaidisha wao mara 2; pumba na unga............nimekuwa nikiwaza moyoni kwanini mtu asisage unga ndio upelekwe huko? ma unga hawanunui ? ama mahindi ni kwa ajili ya kitu kingine na si chakula kwa binadamu?
Naendelea kuwaza ;.......lakini hainingii akilini kubebelea mahindi kutoka hapa mpka Somalia; kenya...........south sudan!
bei ndogo sanaBei ya mahindi miji ya Kenya ksh 2300 hadi 2700 gunia la kilo tisini. Sawa na tsh 46000 hadi 54000. Inalingana vipi na bei kibaigwa?