Habar zenu wadau,
Mwenye uelewa na hii biashara ya kuhudumia mawakala wa huduma za kifedha, huku nilipo mawakala wengi ni wa airtel money, unakuta wakala hana kabisa flot ana cash pekee au ana cash lakini hana flot.
Nimevutiwa na hii biashara, mwenye uelewa na hii bishara anijuze, kamisheni zake zikoje lakini pia changamoto zake, pia mtaji unahitajika kiasi gani, karibuni kwa michango.
Mwenye uelewa na hii biashara ya kuhudumia mawakala wa huduma za kifedha, huku nilipo mawakala wengi ni wa airtel money, unakuta wakala hana kabisa flot ana cash pekee au ana cash lakini hana flot.
Nimevutiwa na hii biashara, mwenye uelewa na hii bishara anijuze, kamisheni zake zikoje lakini pia changamoto zake, pia mtaji unahitajika kiasi gani, karibuni kwa michango.