Biashara ya kuhifadhi maiti

Biashara ya kuhifadhi maiti

safi sana idea nzuri hyo.....changamoto kubwa katika hyo biznes ni frezer zenye nguvu na uwe na umeme wa uhakika...ila biznes hyo haidodi maana kila siku watu wanakufa

Kufa kwa watu sio tija.. issue ni kwamba huduma hio inahitajika ? Na ni kwa kiasi gani ?, sababu kama hospitali ina mortuary na zinakidhi demand sidhani kama hapo kutakuwa na demand ya kutosha.

Pili utakuwa unachaji kiasi gani na kwa muda gani na wafiwa watakuwa wanakupa kabla au baada ya kuchukua mwili, na kama hawajalipa siku ya kuchukua mwili utazuia mwili mpaka walipe au utawaachia siku wakipenda walipe au utawapeleka mahakamni ?
 
  • Thanks
Reactions: 1gb
hi sio fursa ni laana

kuhifadhi maiti ni laana? mbona nyie watu mna mawazo potofu sana?!!!!
mkuu 1gb kama kweli uko serious na hili ujue hii ni kazi ya pesa na inahitaji pesa. kitu pekee kitachowatoa watu kutumia huduma za mortuary za hospitali ambazo kawaida zina gharama kuanzia nafuu mpaka bure na kuja kwako ni ugonjwa mmoja unaitwa "UFAHARI", amini nakwambia Tanzania sasa hivi tuna pesa za kusaza, hivyo kitu chochote kitachoonesha exclusivity ni deal kubwa. Sasa unachotakiwa ni mtaji wa kutosha (nazungumzia kuanzia 100M), pata nyumba nzima sehem nzuri, wala si lazima iwe karibu na hospital, pata majokofu na vifaa vingine vya kisasa, nunua magari lau mawili ya kubebea maiti (mazuri ya kisasa), tengeneza mazingira ya kuvutia, weka wataalam wazuri, usafi uwe wa hali ya juu, leta na majeneza mazuri; HUDUMA ZOTE ZIPATIKANE KWAKO KUANZIA KUCHUKUA MAITI HOSPITAL,KUANDAA, KUHIFADHI, KUSAFIRISHA, KUZIKA, WEKA BEI YOYOTE UNAYOTAKA WATU WATAKUJA.
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: 1gb
Back
Top Bottom