Biashara ya kuhifadhi maiti

Biashara ya kuhifadhi maiti

1gb

JF-Expert Member
Joined
Jun 30, 2013
Posts
2,364
Reaction score
3,199
salam zetu member wa jf!

Wanachama wenzangu kwa kweli ajira imekuwa ngumu sana kupatikana,sana sana kujiajiri tu ndo fursa bomba.
i.Sasa ombi langu kwenu,ni dogo tuu nahitaji ushauri wenu.
Ni kwmba nimekaa na serikali ya kichwa changu nikaona nivema kama itawezekana nifungue hii huduma ya kutunza/kuhifadhi maiti katika majokofu.
biashara hii nataka niifungue karibu kabisa na hosptali mojawapo hapa Dsm.Manake nimezungukia baadhi ya hosptali nikakuta baadhi ya maiti zinalazwa chini,nikaona hii ni fursa vilevile endapo ntanunua walau majokofu makubwa sita ya kuanzia.
Mkononi nina million 8tu.
Ushauri plz.
 
Ni bizinaa nzur ingawa sio ww wa kwanza kuiwaza..
Mtafute mtu wa kuandika business plan akuandikie mchakato mzma waweza pata loan kutoka benk pia..

Hilo la mait kulazwa chin lina sababu maalum waulize madaktar watakwambia kitaalam zaid

Ila niachokijua mm huwa wanalazwa kwa mda fulan then wanawekwa kwenye majokofu..
Kama mait wangekuwa wanalazwa chin bila kuwekwa kwenye majokofu mpk siku ya kwenda kuchukua ndugu yako ingekuwa balaa..
 
  • Thanks
Reactions: 1gb
salam zetu member wa jf!

Wanachama wenzangu kwa kweli ajira imekuwa ngumu sana kupatikana,sana sana kujiajiri tu ndo fursa bomba.
i.Sasa ombi langu kwenu,ni dogo tuu nahitaji ushauri wenu.
Ni kwmba nimekaa na serikali ya kichwa changu nikaona nivema kama itawezekana nifungue hii huduma ya kutunza/kuhifadhi maiti katika majokofu.
biashara hii nataka niifungue karibu kabisa na hosptali mojawapo hapa Dsm.Manake nimezungukia baadhi ya hosptali nikakuta baadhi ya maiti zinalazwa chini,nikaona hii ni fursa vilevile endapo ntanunua walau majokofu makubwa sita ya kuanzia.
Mkononi nina million 8tu.
Ushauri plz.


M 8 ndogo sana mkuu !

Haitoshi kabisa !
Kama tatizo ni Ajira hiyo M 8 ungeanzia biashara nyingine ! Tu
ingeweza kukusaidia !

Au nunua Bastola ! Na wenzako muanze kupora hela ! Za watu !

Effiction sredi !
 
  • Thanks
Reactions: 1gb
Inabidi kwanza ufanye research ya kutosha na kuangalia kama mahitaji hayo yapo; na kama yapo utachaji kiasi gani na cost/capacity unategemea iwe kiasi gani na pia backup yako itakuwa nini iwapo umeme utakatika..

Pili lazima ujiulize mteja wako atakuwa nani, Hospitali (mortuary ikijaa) au wafiwa.., na kama wafiwa kwanini waje kwako na sio Hospitali, sababu kama mtu amefia hospital sidhani kama nafasi itakuwepo mortuary itakuwa rahisi watu kutoka hospital na kuja kwako.

Kwa ushauri badala ya kutoa service ya mortuary ungetoa funeral service ina-make sense zaidi yaani badala ya huduma ya kuhifadhi maiti peke yake fanya na ya majeneza na kutoa huduma zote za mazishi na maiti (kuosha mwili n.k.)
 
M 8 ndogo sana mkuu !

Haitoshi kabisa !
Kama tatizo ni Ajira hiyo M 8 ungeanzia biashara nyingine ! Tu
ingeweza kukusaidia !

Au nunua Bastola ! Na wenzako muanze kupora hela ! Za watu !

Effiction sredi !
nashkru kwa ushauri wako,ila khs oni lako,ntapata kweli vijana wa kazi?
manake vijana wa siku hizi wanajiita watanasafi sijui!vijana hawa wanajua kuvaa mlegezo,na kutembea wananyatanyata,
sasa wataweza kushika gobole au rifle kwa kazi hii ya kiume?
 
Sasa msee biasala ikidoda si ndo utaanza kufunga maombi watu ife ili upate faranga.
mkuu kuhusu hilo,sijali sana manake hata maandazi na vitumbua vinavyoliwa kila siku sometimes navyo hudoda,
kwaio hilo ntachukulia kama changamoto tuu katika biashara,wala sitaombea.
 
Mkuu hii biashara ina mambo mengi zaidi ya kuyaangalia kuliko hela, hata hizo fridge ni maalum sio fridge yoyote, location ya karibu na hospitali kama unavyotaka niatatizo jingine maana ni mwenye nyumba gani atakubaki upange nyumba yake ili mairi zitunzwe hapo? Naghani funeral services inaweza kukufaa zaidi.
 
  • Thanks
Reactions: 1gb
Haka kabiashara nishawahi kukawaza!

Ila haka kauzi kamenitsha kukasoma usiku huu.
 
  • Thanks
Reactions: 1gb
Inabidi kwanza ufanye research ya kutosha na kuangalia kama mahitaji hayo yapo; na kama yapo utachaji kiasi gani na cost/capacity unategemea iwe kiasi gani na pia backup yako itakuwa nini iwapo umeme utakatika..

Pili lazima ujiulize mteja wako atakuwa nani, Hospitali (mortuary ikijaa) au wafiwa.., na kama wafiwa kwanini waje kwako na sio Hospitali, sababu kama mtu amefia hospital sidhani kama nafasi itakuwepo mortuary itakuwa rahisi watu kutoka hospital na kuja kwako.

Kwa ushauri badala ya kutoa service ya mortuary ungetoa funeral service ina-make sense zaidi yaani badala ya huduma ya kuhifadhi maiti peke yake fanya na ya majeneza na kutoa huduma zote za mazishi na maiti (kuosha mwili n.k.)
Ahsante mkuu kwa ku respond.
kama alivyosema mkuu jaqfantacy,itabidi ni mtafute bussines plan.
pia kuhusu huduma nyingine mfano majeneza na kadhalika pia ntajalibu kufanya hivyo iwapo capital itaendana na plan na kama ikipungua basi itabidi nijiongeze kidgo.
 
Haka kabiashara nishawahi kukawaza!

Ila haka kauzi kamenitsha kukasoma usiku huu.

mkuu Deo Corleone wazo lako liliishia wapi?
au uliogopa ukaamua kuachana na wazo lako.
Maiti ni kawaida manake na sisi ndo tunaelekea huko.
 
Last edited by a moderator:
Ok right you may go on becourse is a business like other business
 
  • Thanks
Reactions: 1gb
ka jumba nako,kananipa kizungumkuti lakini mbele ya pesa, potelea pote ntakomaa tuu mpka nione nonihino!
 
Mod aihamishie hii thread kwenye jukwaa la Biashara na Ujasiriamali
 
  • Thanks
Reactions: 1gb
Iwapo kuna watu watasusa kuchukua Kweli Wa ndugu yao .lzm ujiandaa kwa hilo na wengine kushindwa gharama cjui umejiandaaje kwa hilo
 
  • Thanks
Reactions: 1gb
Éeeehh...Makubwa haya mambo...mnanitisha sasa.
Kwa maana hiyo.......,
Mjadara umefungwa rasmi,wanao afiki waseme ndioooooo
wasio afiki waseme siooo.
 
safi sana idea nzuri hyo.....changamoto kubwa katika hyo biznes ni frezer zenye nguvu na uwe na umeme wa uhakika...ila biznes hyo haidodi maana kila siku watu wanakufa
 
  • Thanks
Reactions: 1gb
Back
Top Bottom