Msaada jaman nahtaji kufanya biashara ya kufyatua tofarii japo nataka kuanza kununua vifaaa hvyo kimoja kimoja,,mfano vibrator mixer ya mchanga naweza kupata wapi? Kwa Bei ganii? Ina uimara ganii? Mm kwa sasa Niko Dodoma pia Ile vibrator yenyew inayofyatua tofar wanauza Bei ganii?
Zinapatikana wapii? Japo naskia ya kuchonga Ni nzuri zaidii na motor zake wanauza Bei gan? Kama Kuna mtu yupo dodoma na anafanya hyo biashara nipeni maelekezo pia contacts zenu itapendeza Zaid maana nataka nijifunze kwa vitendo kabla ya kuanza biashara yenyewee!
Zinapatikana wapii? Japo naskia ya kuchonga Ni nzuri zaidii na motor zake wanauza Bei gan? Kama Kuna mtu yupo dodoma na anafanya hyo biashara nipeni maelekezo pia contacts zenu itapendeza Zaid maana nataka nijifunze kwa vitendo kabla ya kuanza biashara yenyewee!