Biashara ya konokono (Snail Farming Business EXPOSED)

Xplorer

JF-Expert Member
Mar 19, 2015
607
857
UFUGAJI WA KONOKONO TANZANIA

Nchini Tanzania ufugaji wa konokono ni biashara iliyosahaulika kwa kiasi kikubwa sana,watanzania wengi bado wanaamini zao hili haliwezekani kufugwa na upatikanaji wake ni kwa kuwaokota mashambani au katika mazingira yanayotuzunguka na haswa katika kipindi cha mvua.konokono wako katika kundi la wanyama wanaoitwa MOLUSCA (hermaphrodite),wanyama hawa wana jinsia mbili hivyo nivigumu kutofautisha kati ya male na female,mbinu za ufugaji wa zao hili zimekuwa mikononi mwa wabinafsi wachache wanaojinufaisha na ufugaji huu huku wakificha mbinu hizo.ufugaji huu ni rahisi sana na unahitaji tu utayari wa mfugaji na haswa ukizingatia kuwa ni vigumu sana kwa wanyama hawa kupatwa na magonjwa na hivyo hawana risk yoyote.

Uzuri wa ufugaji wa konokono ni kwamba,wana uwezo wa kutaga mamia ya mayai na huchukua muda mfupi sana kuzalisha maelfu ya konokono,kwa mfano konokono aina ya ACHATINA ACHATINA wana uwezo wa kutaga hadi mayai 400 katika batch.Konokono wachanga huuzwa kati ya shillingi 500-700,wakati konokono wakubwa waliofugwa vizuri huuzwa kati ya shillingi 1500-2000.

NAFASI YA KIPEKEE YA KUJIINGIZIA KIPATO

Mojawapo ya sifa kubwa inayowatofaisha wajasiriamali (Personal entrepreneur characteristic "PEC",ni uwezo wa kutafuta fursa.uwezo huu ndio unaotutofautisha kwa kiasi kibwa na wajasiriamali wakubwa kutokana na uwezo wao wa kuzitafuta,kuzitambua,na kuzifanyia kazi fursa hizo mojawapo ikiwa ni Ufugaji huu wa konokono.

FAIDA ZA UFUGAJI WA KONOKONO


  1. Kwa ujumla kila sehemu ya mwili wa konokono ina manufaa na matumizi yake,kwa kifupi konokono hutumika kama chakula (source ya protini),pharmaceutical industries,manufacturing industries,uvuaji wa samaki n.k
  2. ufugaji wa konokono ni biashara pekee ya ufugaji inayoongoza kwa faida,na haswa ukizingatia kuwa konokono hawahitaji kununuliwa chakula na gharama za ufugaji huu ni ndogo sana huku faida yake ikiwa ni kubwa sana.
  3. konokono ni export commodity,thamani yao kubwa kimataifa inaweza kutuingizia pia fedha za kigeni na haswa ukizingatia kuwa hali ya hewa katika sehemu kubwa ya nchi yetu inawezesha kwa kiasi kikubwa ufugaji huu.
  4. Mahitaji ya konokono ni makubwa kuliko upatikanaji wake na hivyo soko ni kubwa inexhaustible locally na internationally.
  5. Biashara ya konokono ni mpya Tanzania,hivyo inatoa mwanya kwa wawekezaji watakaojiingiza kwenye biashara hii mapema kupata faida kubwa.
  6. kwa wagonjwa wa asthma wanaweza kutumia konokono kujitengenezea dawa ambayo inasemekana ni nzuri sana

TAKE ADVANTAGE OF THIS OPPORTUNITY OF BEING AMONG THE FORERUNNERS IN THIS GOLDEN VENTURE.
 
pilot projector yu wapi? na masoko yapo wapi?

Mkuu hii biashara ni mpya hauhitaji kumuona mtu anayefanya ndio na wewe ufanye unaweza kutumia mtandao kujielimisha zaidi,hata hivyo haina tofauti sana na jinsi ilivyoanza biashara ya kware ,walionufaika sana ni wale waliyoiona hiyo fursa mapema na kujiingiza huko mapema wakati bado hata soko hawakulijua vizuri.kwa kujua ni wapi inatumika tu (chakula,dawa,viwandani,uvuvi mkubwa) inatosha kukujuza kuwa masoko yanapatikana wapi.
 
Mkuu hii biashara ni mpya hauhitaji kumuona mtu anayefanya ndio na wewe ufanye unaweza kutumia mtandao kujielimisha zaidi,hata hivyo haina tofauti sana na jinsi ilivyoanza biashara ya kware ,walionufaika sana ni wale waliyoiona hiyo fursa mapema na kujiingiza huko mapema wakati bado hata soko hawakulijua vizuri.kwa kujua ni wapi inatumika tu (chakula,dawa,viwandani,uvuvi mkubwa) inatosha kukujuza kuwa masoko yanapatikana wapi.

Nilibahatika kufika mji mmoja west Africa, unaitwa Port Harcourt, pale nilishangaa kuona Kono kono ni chakula cha matajiri, watu hohe hahe hawawezi kumudu mlo wa kono kono. Ni ktk mji ule pia nilishangaa kuona magimbi ni chakula ambacho ni ghari sana, wakati kwetu, wenye dhiki pekee ndio hula magimbi.

Kitu kingine kinacho changia ni idadi ya watu, China wanapiga deal kila kitu sababu wako wengi, kadhalika India. Sisi bado tunashangaa shangaa sababu mjomba bado ni ndugu yako. Sio muda mrefu tutaelewa tu.
 
UFUGAJI WA KONOKONO TANZANIA

Nchini Tanzania ufugaji wa konokono ni biashara iliyosahaulika kwa kiasi kikubwa sana,watanzania wengi bado wanaamini zao hili haliwezekani kufugwa na upatikanaji wake ni kwa kuwaokota mashambani au katika mazingira yanayotuzunguka na haswa katika kipindi cha mvua.konokono wako katika kundi la wanyama wanaoitwa MOLUSCA (hermaphrodite),wanyama hawa wana jinsia mbili hivyo nivigumu kutofautisha kati ya male na female,mbinu za ufugaji wa zao hili zimekuwa mikononi mwa wabinafsi wachache wanaojinufaisha na ufugaji huu huku wakificha mbinu hizo.ufugaji huu ni rahisi sana na unahitaji tu utayari wa mfugaji na haswa ukizingatia kuwa ni vigumu sana kwa wanyama hawa kupatwa na magonjwa na hivyo hawana risk yoyote.

Uzuri wa ufugaji wa konokono ni kwamba,wana uwezo wa kutaga mamia ya mayai na huchukua muda mfupi sana kuzalisha maelfu ya konokono,kwa mfano konokono aina ya ACHATINA ACHATINA wana uwezo wa kutaga hadi mayai 400 katika batch.Konokono wachanga huuzwa kati ya shillingi 500-700,wakati konokono wakubwa waliofugwa vizuri huuzwa kati ya shillingi 1500-2000.

NAFASI YA KIPEKEE YA KUJIINGIZIA KIPATO

Mojawapo ya sifa kubwa inayowatofaisha wajasiriamali (Personal entrepreneur characteristic "PEC",ni uwezo wa kutafuta fursa.uwezo huu ndio unaotutofautisha kwa kiasi kibwa na wajasiriamali wakubwa kutokana na uwezo wao wa kuzitafuta,kuzitambua,na kuzifanyia kazi fursa hizo mojawapo ikiwa ni Ufugaji huu wa konokono.

FAIDA ZA UFUGAJI WA KONOKONO


  1. Kwa ujumla kila sehemu ya mwili wa konokono ina manufaa na matumizi yake,kwa kifupi konokono hutumika kama chakula (source ya protini),pharmaceutical industries,manufacturing industries,uvuaji wa samaki n.k
  2. ufugaji wa konokono ni biashara pekee ya ufugaji inayoongoza kwa faida,na haswa ukizingatia kuwa konokono hawahitaji kununuliwa chakula na gharama za ufugaji huu ni ndogo sana huku faida yake ikiwa ni kubwa sana.
  3. konokono ni export commodity,thamani yao kubwa kimataifa inaweza kutuingizia pia fedha za kigeni na haswa ukizingatia kuwa hali ya hewa katika sehemu kubwa ya nchi yetu inawezesha kwa kiasi kikubwa ufugaji huu.
  4. Mahitaji ya konokono ni makubwa kuliko upatikanaji wake na hivyo soko ni kubwa inexhaustible locally na internationally.
  5. Biashara ya konokono ni mpya Tanzania,hivyo inatoa mwanya kwa wawekezaji watakaojiingiza kwenye biashara hii mapema kupata faida kubwa.
  6. kwa wagonjwa wa asthma wanaweza kutumia konokono kujitengenezea dawa ambayo inasemekana ni nzuri sana

TAKE ADVANTAGE OF THIS OPPORTUNITY OF BEING AMONG THE FORERUNNERS IN THIS GOLDEN VENTURE.

Kuna kitu kikubwa cha manufaa katika hii post, ni suala la uthubutu tu
 
Nilibahatika kufika mji mmoja west Africa, unaitwa Port Harcourt, pale nilishangaa kuona Kono kono ni chakula cha matajiri, watu hohe hahe hawawezi kumudu mlo wa kono kono. Ni ktk mji ule pia nilishangaa kuona magimbi ni chakula ambacho ni ghari sana, wakati kwetu, wenye dhiki pekee ndio hula magimbi.

Kitu kingine kinacho changia ni idadi ya watu, China wanapiga deal kila kitu sababu wako wengi, kadhalika India. Sisi bado tunashangaa shangaa sababu mjomba bado ni ndugu yako. Sio muda mrefu tutaelewa tu.

Ni kweli mkuu, Ila kwa Kenya wanafuga konokono na kama sikosei wanauza Ulaya, kwa hapa Tz labda kuanza kuwauzia watu wa west Africa wanaishi bongo hasa Nigerian na Ghana man, make hwa wanatumia sana, Kwa Nairobi kuna wanao fuga
 
Ungejaza nyama za kutosha, hii imekaa theoretical zaidi. Kuna mdau mmoja alileta somo la ufugaji wa Mbuni, alichambua vizuri sana.
 
Hii kitu imekaa vizuri sana ngoja mie nifanyie kazi naweza kutoka kimaisha kuliko kubanana na vimshahara vya laki 2 kwa mwezi, hili bonge la idea japo wengi tunaweza kuona ni jambo gumu ila mmoja akifanikiwa tu itaonekana ni rahisi sana. nitatumia muda wa mwezi mmoja kufanya research namna ya kufuga hao konokono halafu nitakuja kpost hapa ili wadau wachangie mawzo kabla sijaingia kichwa kichwa
 
UFUGAJI WA KONOKONO TANZANIA

Nchini Tanzania ufugaji wa konokono ni biashara iliyosahaulika kwa kiasi kikubwa sana,watanzania wengi bado wanaamini zao hili haliwezekani kufugwa na upatikanaji wake ni kwa kuwaokota mashambani au katika mazingira yanayotuzunguka na haswa katika kipindi cha mvua.konokono wako katika kundi la wanyama wanaoitwa MOLUSCA (hermaphrodite),wanyama hawa wana jinsia mbili hivyo nivigumu kutofautisha kati ya male na female,mbinu za ufugaji wa zao hili zimekuwa mikononi mwa wabinafsi wachache wanaojinufaisha na ufugaji huu huku wakificha mbinu hizo.ufugaji huu ni rahisi sana na unahitaji tu utayari wa mfugaji na haswa ukizingatia kuwa ni vigumu sana kwa wanyama hawa kupatwa na magonjwa na hivyo hawana risk yoyote.

Uzuri wa ufugaji wa konokono ni kwamba,wana uwezo wa kutaga mamia ya mayai na huchukua muda mfupi sana kuzalisha maelfu ya konokono,kwa mfano konokono aina ya ACHATINA ACHATINA wana uwezo wa kutaga hadi mayai 400 katika batch.Konokono wachanga huuzwa kati ya shillingi 500-700,wakati konokono wakubwa waliofugwa vizuri huuzwa kati ya shillingi 1500-2000.

NAFASI YA KIPEKEE YA KUJIINGIZIA KIPATO

Mojawapo ya sifa kubwa inayowatofaisha wajasiriamali (Personal entrepreneur characteristic "PEC",ni uwezo wa kutafuta fursa.uwezo huu ndio unaotutofautisha kwa kiasi kibwa na wajasiriamali wakubwa kutokana na uwezo wao wa kuzitafuta,kuzitambua,na kuzifanyia kazi fursa hizo mojawapo ikiwa ni Ufugaji huu wa konokono.

FAIDA ZA UFUGAJI WA KONOKONO


  1. Kwa ujumla kila sehemu ya mwili wa konokono ina manufaa na matumizi yake,kwa kifupi konokono hutumika kama chakula (source ya protini),pharmaceutical industries,manufacturing industries,uvuaji wa samaki n.k
  2. ufugaji wa konokono ni biashara pekee ya ufugaji inayoongoza kwa faida,na haswa ukizingatia kuwa konokono hawahitaji kununuliwa chakula na gharama za ufugaji huu ni ndogo sana huku faida yake ikiwa ni kubwa sana.
  3. konokono ni export commodity,thamani yao kubwa kimataifa inaweza kutuingizia pia fedha za kigeni na haswa ukizingatia kuwa hali ya hewa katika sehemu kubwa ya nchi yetu inawezesha kwa kiasi kikubwa ufugaji huu.
  4. Mahitaji ya konokono ni makubwa kuliko upatikanaji wake na hivyo soko ni kubwa inexhaustible locally na internationally.
  5. Biashara ya konokono ni mpya Tanzania,hivyo inatoa mwanya kwa wawekezaji watakaojiingiza kwenye biashara hii mapema kupata faida kubwa.
  6. kwa wagonjwa wa asthma wanaweza kutumia konokono kujitengenezea dawa ambayo inasemekana ni nzuri sana

TAKE ADVANTAGE OF THIS OPPORTUNITY OF BEING AMONG THE FORERUNNERS IN THIS GOLDEN VENTURE.
Hello are you still doing the snail business? We are looking to start a small on in dar and will need all information that might help us especially when it comes to the laws etc
 
Hii kitu imekaa vizuri sana ngoja mie nifanyie kazi naweza kutoka kimaisha kuliko kubanana na vimshahara vya laki 2 kwa mwezi, hili bonge la idea japo wengi tunaweza kuona ni jambo gumu ila mmoja akifanikiwa tu itaonekana ni rahisi sana. nitatumia muda wa mwezi mmoja kufanya research namna ya kufuga hao konokono halafu nitakuja kpost hapa ili wadau wachangie mawzo kabla sijaingia kichwa kichwa
Hujapata hizo nondo tu mkuu?
 
Nilibahatika kufika mji mmoja west Africa, unaitwa Port Harcourt, pale nilishangaa kuona Kono kono ni chakula cha matajiri, watu hohe hahe hawawezi kumudu mlo wa kono kono. Ni ktk mji ule pia nilishangaa kuona magimbi ni chakula ambacho ni ghari sana, wakati kwetu, wenye dhiki pekee ndio hula magimbi.

Kitu kingine kinacho changia ni idadi ya watu, China wanapiga deal kila kitu sababu wako wengi, kadhalika India. Sisi bado tunashangaa shangaa sababu mjomba bado ni ndugu yako. Sio muda mrefu tutaelewa tu.
Hapo kwenye magimbi nakuunga mkono na miguu nasikia ni boonge la dili kiroba kidogo mpaka laki na hamsini inafika
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom