Mwezi WA 3,4,5 hapo MTU unaweza kulangua kwa wakulima kwa bei ya chini then ukaja kuiuza kwa mzungu sina hakika lkn nadhani kuanzia mwezi WA 7 kwa bei nzuri inaweza kudouble bei uliyonunulia. Angalizo lazima uwe na mwenyeji au mzoefu ili kununua grade nzuri ya tumbaku