Biashara ya juisi kwa 150,000/=

Biashara ya juisi kwa 150,000/=

Tommy 911

JF-Expert Member
Joined
Mar 5, 2019
Posts
639
Reaction score
575
Habarini wana jf nina mtaji wa 310,000 tsh lakini nataka nitumie 150,000/= kufany biashara ya juisi za matunda.

Naombeni ushauri sina blender wala freezer.
Nawasilisha
 
Sawa lkn ningependa IDEAS kidogo
Plan ni kuifanyia wapi? Bar kisha unaweka kisehemu cha juice? Eneo tu la nje kwenye population?
1751567627020 (1).jpg

Hicho kibanda nmekupa idea 😁 tafuta location nzuri, jitahidi usafi....
 
You can start where you are, tangeneza juice nenda kaweke kwenye freezer la jirani utachangia umeme. chukua juice kauze mpaka upate lako. kama ni ngumu nenda kanunue freezer used kwa hiyo 150k then tafuta mtaji wa juice kuhusu brender daaaaaah unaweza hata kuazima au kukodi
 
Back
Top Bottom