salimkabora
JF-Expert Member
- Nov 10, 2012
- 2,441
- 653
Kiwanja kipo mita 20 toka baharini kinatizamana na geti la Hospitali Kuu ya Wilaya ya Bagamoyo, vinatenganishwa na barabara, kinafaa sana kwa biashara ya duka kubwa la dawa, jumla na rejareja. Kina offer na ukubwa wa sq.mt. 800 na bei ni Ths milioni 16 tu. Mawasiliano simu no. 0786 021840.