Biashara ya dagaa nyama

Biashara ya dagaa nyama

Saidi malolo

Member
Joined
May 2, 2024
Posts
25
Reaction score
25
Natafuta watu mbalimbali wa kufanya nao bishara wa dagaa nyama .mimi nipo kilwa nazalisha dagaa nyama nimeanza mda kidogo lakini sina wateja wa kutosha natamani nipate mtu kwa baadhi ya sehemu nice nawapelekea mzigo sehemu kama dar es salaam. Kibaha morogoro dodoma chalinze na kwengine
 
Back
Top Bottom