Biashara ya Computer training center

bagain

JF-Expert Member
Jul 21, 2011
362
226
wana JF,
Nataka kufungua kituo cha kufundisha computer short courses kama introduction, office packages, na baadae graphics na web development.
Naomba wenye uzoefu na ufahamu juu ya taratibu za kufuata kisheria wanisaidie ili niweze kutoa certificate na biashara isonge mbele.
Mimi nimesoma computer course kwa level ya adv diploma, ninaweza kununua computer hata 10.

Natamani kuwa mjasiriamali, mawazo yenu nitayathamini.
 
wana JF,

kuna mwenye valuable input katika hili? Please help.
 
Tafadhali tembelea website ya NACTE utapata procedures za kufuata.
 
wana JF,
Nataka kufungua kituo cha kufundisha computer short courses kama introduction, office packages, na baadae graphics na web development.
Naomba wenye uzoefu na ufahamu juu ya taratibu za kufuata kisheria wanisaidie ili niweze kutoa certificate na biashara isonge mbele.
Mimi nimesoma computer course kwa level ya adv diploma, ninaweza kununua computer hata 10.

Natamani kuwa mjasiriamali, mawazo yenu nitayathamini.
umechelewa, hii biashara ililipa sana miaka ya 90 - 2000. sasa hivi imeshikwa na wahindi kwenye mitaji mikubwa - usije ukalia tafuta biashara nyingine, unless una ndugu zako waje kusoma hapo chuoni kwako.

Tena sasa hivi familia nyingi zina computer nyumbani, pia watoto wanafundishwa computer tangu primary sasa sijui wewe una target kufundisha kundi gani?
 
umechelewa, hii biashara ililipa sana miaka ya 90 - 2000. sasa hivi imeshikwa na wahindi kwenye mitaji mikubwa - usije ukalia tafuta biashara nyingine, unless una ndugu zako waje kusoma hapo chuoni kwako.

Tena sasa hivi familia nyingi zina computer nyumbani, pia watoto wanafundishwa computer tangu primary sasa sijui wewe una target kufundisha kundi gani?

Usiongee bila kuwa na facts za kuku-back up!! Kwani wahindi wao Mungu?? Umefanya research ukagundua kuwa jamaa hataweza compete na wahindi?? Tusidumaze ufikiri wetu.. Hakuna kisichowezekana!!
 
@Fuso,
nashukuru kwa hiyo changamoto.
Kilichonisukuma kupata wazo hili ni mapungufu ambayo nimeweza kuyaona katika centers na hata vyuo vinavyotoa hizi short courses . Wengi hawafundishi vizuri, siku zingine hakuna walimu, kozi huchukua muda mrefu bila sababu , practice kwa wanafunzi ni kidogo. Siku si nyingi nilimpeleka mtu chuo kilichosajiliwa veta asome ms publisher, hali halisi ni kuwa darasa lina wanafunzi wengi na anaelekezwa na mwalimu si zaidi ya dakika kumi kati ya masaa mawili ya siku.
 
@Fuso,
nashukuru kwa hiyo changamoto.
Kilichonisukuma kupata wazo hili ni mapungufu ambayo nimeweza kuyaona katika centers na hata vyuo vinavyotoa hizi short courses . Wengi hawafundishi vizuri, siku zingine hakuna walimu, kozi huchukua muda mrefu bila sababu , practice kwa wanafunzi ni kidogo. Siku si nyingi nilimpeleka mtu chuo kilichosajiliwa veta asome ms publisher, hali halisi ni kuwa darasa lina wanafunzi wengi na anaelekezwa na mwalimu si zaidi ya dakika kumi kati ya masaa mawili ya siku.

Wala usikatishwe tamaa jitahidi kutafuta ukweli tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom