kalikumutima
Senior Member
- Oct 9, 2014
- 147
- 47
Habari wa ndg.naomba msaada kwa anaejua biashara hii faida na changamoto zake maana kuna eneo nimeona kuna butcher moja tu hivyo likanijia wazo hilo.Najua jf ni sehemu ambayo unaweza kufanyia utafiti.Naomba kuwasilisha