nandengele
JF-Expert Member
- Dec 28, 2015
- 689
- 799
Wandugu kama kichwa cha habari kinavyojieleza naomba kupata ufahamu wa biashara ya bucha
,namna inavyofanyika, changamoto na faida zake
,namna inavyofanyika, changamoto na faida zake
wadau njooni mchangie hapa, mimi binafsi hua nashangaa sana hapa mjini nyama ghali sana alafu huko mikoani wananchi wana mifugo mingi hadi inasababisha vita na bado wao ni masikini...kuna haja ya kuongezwa kwa mabucha hapa mjini