Biashara ya Bodaboda

Binafsi niko njiani kuianza hii biashara ndani ya mwezi mmoja. Sioni faida kuiweka 2.3M banki na mitozo yote hii kuliko kuikosa 3000 ya siku, nani atanipa bure?
any update mkuu..imeianza? changamoto zake je
 
Huu uzi nimeupitia, una madini mengi. Watu wameshare experience zao fresh tu. Nina swali kwa wenye uzoefu na hii biashara, mfano ninayo bodaboda na nataka kumpa dereva awe ananiletea hesabu kwa siku na boda iendelee kuwa yangu, je kuna mtu ana sample ya mkataba wa hesabu ya siku?
 
Boss umeshauri safi kuna vingi naomba nijifunze kwako kuhusu hii biashara naomba nipate namba yako 0657903900
 
Em tupe nondo apo kaka, unafanya biashara gani wewe au umeajiriwa, na hyo biashara mtaji shingap na faida Kwa siku shingap!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…