mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 23,390
- 75,804
kuna mda nlikua namu-idolize elon musk mpaka nikawa na ndoto nije kua the first dollar trillionaire, kwa kutengeneza njia ya kwenda kuchimba madini space 😂Una angalia motivation videos, mpaka una kariri story zao😂😂
👉Una Anza kuwakera mpaka you tube, kila saaa how to get rich early 😂😂
👉Una Google mpaka jinsi ya kuokota hela
Mi nilikuwaga nafikiri on how to build a trillionare company😂😂kuna mda nlikua namu-idolize elon musk mpaka nikawa na ndoto nije kua the first dollar trillionaire, kwa kutengeneza njia ya kwenda kuchimba madini space 😂
Service yake imekukosti kiasi gani mkuu ?. Maana bajaji kwa 1.3M duh hata kama used ni very cheap sana.All ready bought by me, for 1.3m namba d
It's all about access chief💪, iko msuper balaa 🔥🔥Service yake imekukosti kiasi gani mkuu ?. Maana bajaji kwa 1.3M duh hata kama used ni very cheap sana.
saivi naona ni bahati tu 😅Mi nilikuwaga nafikiri on how to build a trillionare company😂😂
👉 Though najiona naelekea huko😂
👉Unasoma na kukariri Kama kasuku😂😁
Duh hua unaangalia vigezo gani vya ubora unapochagua Bajaji used mkuu?.It's all about access chief💪, iko msuper balaa 🔥🔥
Engine mkuu, ndo Roho ya chombo mkuuDuh hua unaangalia vigezo gani vya ubora unapochagua Bajaji used mkuu?.
Nope bahati😂😂, wakati mtu alikuwa halali😁saivi naona ni bahati tu 😅
wakishua yule jamaa.... baba yake alikua anajihussha na mambo ya madiniNope bahati😂😂, wakati mtu alikuwa halali😁
👉Mtu anafanya kazi 22hrs
👉Anasoma na kufanya vitu vipya
Bahati🤔, wakati we una muda Hadi wa kula mboga😁😂saivi naona ni bahati tu 😅
Kwahiyo nikitaka kwenda kununua chombo used inanipasa kwenda na fundi aicheki engine au kipi nizangatie ?.Engine mkuu, ndo Roho ya chombo mkuu
Ni sawa, ila wewe hizo hela unazo honga vepee😁😂wakishua yule jamaa.... baba yake alikua anajihussha na mambo ya madini
Yeah na anatakiwa kuwa mjuzi na mzoefu Sana💪,Kwahiyo nikitaka kwenda kununua chombo used inanipasa kwenda na fundi aicheki engine au kipi nizangatie ?.
Mkuu kimsingi nakuuliza haya maswali Binafsi nataka ninunue pikipiki used niingie road na Nina 1M kavu ndoa maana maswali ni mengi.Engine mkuu, ndo Roho ya chombo mkuu
we ukipata muda nijulishe nikutumie video flani itakufungua macho....Bahati🤔, wakati we una muda Hadi wa kula mboga😁😂
Usijali Kaka, tupo pamoja🙏💪.Mkuu kimsingi nakuuliza haya maswali Binafsi nataka ninunue pikipiki used niingie road na Nina 1M kavu ndoa maana maswali ni mengi.
Nafahamu sehemu wanauza pikipiki used. Zipo nyingi ni wewe tu kuchagua unayotaka.Kwa sasa bado mkuu ila nitakujulisha
Nipe no yako bosswe ukipata muda nijulishe nikutumie video flani itakufungua macho....
Ogopa sana, sehemu hizo.Nafahamu sehemu wanauza pikipiki used. Zipo nyingi ni wewe tu kuchagua unayotaka.
Sent using Jamii Forums mobile app
dah, inakua ngumu kuamini watu humu.... tumia PM 😅Nipe no yako boss