Radio Producer
JF-Expert Member
- Feb 4, 2011
- 728
- 322
Wadau,
Kwa wale wanaomiliki vituo vya radio habari hii inaweza kuwahusu kwa namna moja au nyingine!
Kwa sasa kuna changamoto kubwa sana kutokana na radio nyingi sana kuanzishwa na bado zinaanzishwa hali inayopelekea radio nyingi kushindwa kujiendesha na kuwa radio jina tu.
Kampuni yetu ya Radio Consult LTD tunatoa huduma zifuatazo:-
1. Tunatengeneza mapendekezo ya uboreshaji wa radio yako kuendana na soko la sasa na ushindani wa sasa.
2. Kwa wale wanaotaka kuhire radio zao kwa watu wengine na wao wawe wanapata malipo tu huku radio ikisimamiwa na mtu mwingine, tunawaunganisha na watu muhimu kwa ajili ya suala hili.
Ombi: Usifunge kituo chako cha radio kwa kushindwa kukiendesha kwa vile hakikuzalishii sana. Wasiliana nasisi kwanza tukupe ushauri kabla ya kufikia maamuzi hayo. Gharama zetu daima huwa ni nafuu zaidi.
Email: consultancy@radiotz.com
Mob: 0719970665
Kwa wale wanaomiliki vituo vya radio habari hii inaweza kuwahusu kwa namna moja au nyingine!
Kwa sasa kuna changamoto kubwa sana kutokana na radio nyingi sana kuanzishwa na bado zinaanzishwa hali inayopelekea radio nyingi kushindwa kujiendesha na kuwa radio jina tu.
Kampuni yetu ya Radio Consult LTD tunatoa huduma zifuatazo:-
1. Tunatengeneza mapendekezo ya uboreshaji wa radio yako kuendana na soko la sasa na ushindani wa sasa.
2. Kwa wale wanaotaka kuhire radio zao kwa watu wengine na wao wawe wanapata malipo tu huku radio ikisimamiwa na mtu mwingine, tunawaunganisha na watu muhimu kwa ajili ya suala hili.
Ombi: Usifunge kituo chako cha radio kwa kushindwa kukiendesha kwa vile hakikuzalishii sana. Wasiliana nasisi kwanza tukupe ushauri kabla ya kufikia maamuzi hayo. Gharama zetu daima huwa ni nafuu zaidi.
Email: consultancy@radiotz.com
Mob: 0719970665