Biashara nyingi zinafungwa Mwanza Serikali ichunguze tatizo

eddy

JF-Expert Member
Dec 26, 2007
15,079
10,022
Miaka ya nyuma kulikuwa na mbanano wa biashara hasa mitaa ya libert na rwagasore. Sasa hivi sio pamepooza sana. Maeneo hayo chumba cha duka kodi ilikuwa 10m na kuendelea leo hii mpangaji wa 3m kwa mwaka hapatikani na bado maduka yanazidi kufungwa.

Nimejaribu kufuatilia sababu mojawapo ni makadirio ya kodi yasiyoendana na uhalisia wa biashara wafanyabiashara wameamua kupunguza biashara na wengine kuhama. Mfano mtu alikuwa na duka lake la mke wake na kijana wake anaamua kuvunja na kubaki na duka moja.

kuanzishwa kwa mikoa ya simiyu na geita kumesababisha kukua kwa biashara katika maeneo hayo na hakuna usumbufu wa maofisa wa serikali kama mwanza.

Askari hasa trafik wa mwanza wamekuwa wasumbufu hivyo wafanyabiashara wameamua kuhama mwanza na kuhamia kahama katoro bariadi na geita ambapo hakuna usumbufu huo. Mfano kutoka mwanza mjini hadi kisesa umbali wa km 20 kuna vituo vya trafik zaidi ya vitano na wote huuliza maswali yaleyale. Zipo kaguzi zinazokatisha tamaa mfano unaambiwa urushe maji ya kusafishia kioo yasiporuka unalipa faini ya elfu 30, sehemu kubwa ya mwanza barabara ni mbovu na za vumbi huto tujitu kuziba ni jambo la kawaida.

Kuna mabus mengi yameegeshwa kwa kukosa abiria kwani wasafiri wengi ni wafanyabiashara ambao hawaji tena kuhemea mwanza. Lipo tatizo la mabus kuzidi uzito mizani jiulize bus jipya kama sabuni continental fresta linazidi mizani huku likiwa halina mizigo na abiria wako nusu? Bus hizi zikifika mizani abiria wanaanza kuswagwa kama mbuzi. Likikanyaga tairi za mbele mnakimbilia nyuma likikanyaga za nyuma mnakimbilia mbele basi tabu tupu.

Tanroad sidhani kama wana ujuzi wa upimaji kazi hii bora ingefanywa na wakala wa vipimo hao ndio waliosomea vipimo na wanajua uzito sahihi na kisheria ndio wenye dhamana ya upimaji uzito wa mizigo na bidhaa
 
Mkuu, ni kweli kuwa itakuwa vizuri uongozi wa mkoa ukiliangalia na kurekebisha kama kuna kasoro zozote. Lakini, ukumbuke kuwa zamani zile za kuchekeana biashara nyingi zilikuwa zinaendeshwa kwa kutegemea ukwepaji wa kulipa kodi, sasa kwa kuwa zama hizi za sasa ni za kuziba mianya hiyo ya kukwepa kodi, rushwa, nk, lazima utegemee wale waliozoea mambo hayo kufunga biashara. Hata malalamiko ya 'vyuma vimekaza' msingi wake ni huo huo. Watu walikuwa wanezoea pesa za magumashi, sasa mianya imezibwa ndo unasikia malalamiko.
 
Mkuu, ni kweli kuwa itakuwa vizuri uongozi wa mkoa ukiliangalia na kurekebisha kama kuna kasoro zozote. Lakini, ukumbuke kuwa zamani zile za kuchekeana biashara nyingi zilikuwa zinaendeshwa kwa kutegemea ukwepaji wa kulipa kodi, sasa kwa kuwa zama hizi za sasa ni za kuziba mianya hiyo ya kukwepa kodi, rushwa, nk, lazima utegemee wale waliozoea mambo hayo kufunga biashara. Hata malalamiko ya 'vyuma vimekaza' msingi wake ni huo huo. Watu walikuwa wanezoea pesa za mafumashi, sasa mianya imezibwa ndo unasikia malalamiko.
Mkuu, itafakari vizuri hoja yako!!! Ulimsikia vyema Waziri wa fedha?
 
Hiyo mitaa ya liberty ndio mitaa yangu iliyonikuzia na kunilea kibiashara lakini kwa sasa nipo dar, watu wengi waliohama jiji la mwanza,sababu kubwa sio kodi bali ni biashara yenyewe,mfano wa miji kukua kama bariadi katoro kahama ndio imekuwa chanzo kikubwa sana cha watu kuhama mza kibiashara.
Mabenki nayo yekuwa mengi ambayo yametoa fulsa kwa wafanya biashara wa ile miji iliyokuwa midogo kwa kuwapatia mikopo .mfano mfanyabiashara wa katoro ambaye alikuwa na mtaji wa milioni kumi manunuzi yake yote alikuwa anafanyia mwanza sasa leo benk imemkopesha milion30 jumla anayo 40 huyu usimtegee kuja kununua bidhaa zake mwanza huyu yeye ata fata mzigo wake dar au wachange na wenzake waende china direct.
Mji wa mwanza umeyumba kibiashra kwa style hiyo.
Kodi ya serikali unaonekana ni tataizo pale ambapo watu walizoea kulipa vizuri mara pap biashara imegoma na serikali anataka kodi yake kinachofata ni lawama kwa serikali.lakini biashara ni tayari ilikuwa imesha zorota kwa sababu ya indirect factors.kodi yeye anakuja baadae sana
 
Miaka ya nyuma kulikuwa na mbanano wa biashara hasa mitaa ya libert na rwagasore. Sasa hivi sio pamepooza sana. Maeneo hayo chumba cha duka kodi ilikuwa 10m na kuendelea leo hii mpangaji wa 3m kwa mwaka hapatikani na bado maduka yanazidi kufungwa.

Nimejaribu kufuatilia sababu mojawapo ni makadirio ya kodi yasiyoendana na uhalisia wa biashara wafanyabiashara wameamua kupunguza biashara na wengine kuhama. Mfano mtu alikuwa na duka lake la mke wake na kijana wake anaamua kuvunja na kubaki na duka moja.

kuanzishwa kwa mikoa ya simiyu na geita kumesababisha kukua kwa biashara katika maeneo hayo na hakuna usumbufu wa maofisa wa serikali kama mwanza.

Askari hasa trafik wa mwanza wamekuwa wasumbufu hivyo wafanyabiashara wameamua kuhama mwanza na kuhamia kahama katoro bariadi na geita ambapo hakuna usumbufu huo. Mfano kutoka mwanza mjini hadi kisesa umbali wa km 20 kuna vituo vya trafik zaidi ya vitano na wote huuliza maswali yaleyale. Zipo kaguzi zinazokatisha tamaa mfano unaambiwa urushe maji ya kusafishia kioo yasiporuka unalipa faini ya elfu 30, sehemu kubwa ya mwanza barabara ni mbovu na za vumbi huto tujitu kuziba ni jambo la kawaida.

Kuna mabus mengi yameegeshwa kwa kukosa abiria kwani wasafiri wengi ni wafanyabiashara ambao hawaji tena kuhemea mwanza. Lipo tatizo la mabus kuzidi uzito mizani jiulize bus jipya kama sabuni continental fresta linazidi mizani huku likiwa halina mizigo na abiria wako nusu? Bus hizi zikifika mizani abiria wanaanza kuswagwa kama mbuzi. Likikanyaga tairi za mbele mnakimbilia nyuma likikanyaga za nyuma mnakimbilia mbele basi tabu tupu.

Tanroad sidhani kama wana ujuzi wa upimaji kazi hii bora ingefanywa na wakala wa vipimo hao ndio waliosomea vipimo na wanajua uzito sahihi na kisheria ndio wenye dhamana ya upimaji uzito wa mizigo na bidhaa
Kwa hiyo biashara inafungwa kwa sababu ya traffic??? na TRA??? Huna tafiti za kina Nina maduka mitaa ya rwagasole na moja liberty hakuna hata frame ya Duka iliyo wazi ni mbanano Wa biashara hadi gari kupita ni shida Barabarani.Sisi wafanya biashara tunahitaji wafanya biashara Barabarani waondolewe watafutiwe eneo lao. Acha kupotosha watu inawezekana unaishi Rombo ambapo wafanya biashara Wa kichaga wamehamia Dar. Maeneo uliyotaja wengi wao wana maduka hapa mwanza na wamepanua biashara zao hadi huko Katoro,Geita na Kahama kwa ajili ya masoko tu .Hiyo frame ya million tatu labda utaipata nje ya katikati ya jiji lakini rwagasole ni ndoto.
 
Mawasiliano ya Mdomo na moyo wakati wa maongezi
Mdomo;
hali ya maisha ni ngumu kwa sasa,pesa haipatikani na biashara nyingi zinafungwa,TRA wanatoza kodi kubwa wakati mzunguko umekuwa mdogo. Na ....
Moyo;
unastuka baada ya kumuwaza sugu
Moyo;
we mdomo unajifanya unajua kuongea sana subiri
Mdomo;(kwa sauti ya kunong'ona)
Hapa inabidi nifute kauli
Mdomo;
kwa kweli nampenda sana mheshimiwa.
Hata kabla hajachaguliwa nilikuwa nampenda sana.
Kuna nchi zinamuomba akawe kiongozi wao bhana,
Uchumi umekua sana na.....a a ....na ....ok.
sasa ngoja kuna bwana nataka nimuone Mara moja
Miguu nisaidie....
Kitanda kiko wapi...
 
Walitutangazia tuhamie Dodoma wewe ulikua wapi?! Alisema akihamia wewe bado utakiona cha mtema kuni, ulitaka tukusubiri wewe?! Tuko njiani tunaelekea Dodoma.
 
Hiyo mitaa ya liberty ndio mitaa yangu iliyonikuzia na kunilea kibiashara lakini kwa sasa nipo dar, watu wengi waliohama jiji la mwanza,sababu kubwa sio kodi bali ni biashara yenyewe,mfano wa miji kukua kama bariadi katoro kahama ndio imekuwa chanzo kikubwa sana cha watu kuhama mza kibiashara.
Mabenki nayo yekuwa mengi ambayo yametoa fulsa kwa wafanya biashara wa ile miji iliyokuwa midogo kwa kuwapatia mikopo .mfano mfanyabiashara wa katoro ambaye alikuwa na mtaji wa milioni kumi manunuzi yake yote alikuwa anafanyia mwanza sasa leo benk imemkopesha milion30 jumla anayo 40 huyu usimtegee kuja kununua bidhaa zake mwanza huyu yeye ata fata mzigo wake dar au wachange na wenzake waende china direct.
Mji wa mwanza umeyumba kibiashra kwa style hiyo.
Kodi ya serikali unaonekana ni tataizo pale ambapo watu walizoea kulipa vizuri mara pap biashara imegoma na serikali anataka kodi yake kinachofata ni lawama kwa serikali.lakini biashara ni tayari ilikuwa imesha zorota kwa sababu ya indirect factors.kodi yeye anakuja baadae sana
Wafanya biashara waliokopa bank wamefirisika kwani hiyo mikopo sio rafiki
 
Miaka ya nyuma kulikuwa na mbanano wa biashara hasa mitaa ya libert na rwagasore. Sasa hivi sio pamepooza sana. Maeneo hayo chumba cha duka kodi ilikuwa 10m na kuendelea leo hii mpangaji wa 3m kwa mwaka hapatikani na bado maduka yanazidi kufungwa.

Nimejaribu kufuatilia sababu mojawapo ni makadirio ya kodi yasiyoendana na uhalisia wa biashara wafanyabiashara wameamua kupunguza biashara na wengine kuhama. Mfano mtu alikuwa na duka lake la mke wake na kijana wake anaamua kuvunja na kubaki na duka moja.

kuanzishwa kwa mikoa ya simiyu na geita kumesababisha kukua kwa biashara katika maeneo hayo na hakuna usumbufu wa maofisa wa serikali kama mwanza.

Askari hasa trafik wa mwanza wamekuwa wasumbufu hivyo wafanyabiashara wameamua kuhama mwanza na kuhamia kahama katoro bariadi na geita ambapo hakuna usumbufu huo. Mfano kutoka mwanza mjini hadi kisesa umbali wa km 20 kuna vituo vya trafik zaidi ya vitano na wote huuliza maswali yaleyale. Zipo kaguzi zinazokatisha tamaa mfano unaambiwa urushe maji ya kusafishia kioo yasiporuka unalipa faini ya elfu 30, sehemu kubwa ya mwanza barabara ni mbovu na za vumbi huto tujitu kuziba ni jambo la kawaida.

Kuna mabus mengi yameegeshwa kwa kukosa abiria kwani wasafiri wengi ni wafanyabiashara ambao hawaji tena kuhemea mwanza. Lipo tatizo la mabus kuzidi uzito mizani jiulize bus jipya kama sabuni continental fresta linazidi mizani huku likiwa halina mizigo na abiria wako nusu? Bus hizi zikifika mizani abiria wanaanza kuswagwa kama mbuzi. Likikanyaga tairi za mbele mnakimbilia nyuma likikanyaga za nyuma mnakimbilia mbele basi tabu tupu.

Tanroad sidhani kama wana ujuzi wa upimaji kazi hii bora ingefanywa na wakala wa vipimo hao ndio waliosomea vipimo na wanajua uzito sahihi na kisheria ndio wenye dhamana ya upimaji uzito wa mizigo na bidhaa
2020 mumpe kura zaidi nyie ndio ndgu zke wa damu,traffic wanatenda haki kuwatoza faini mana nyie mwz mnalala ucngizi kwenye nyumba zenu wenzenu kimara hawana makazi.
Mngevunjiwa zile nyumba za kigoto na ilemela si mngefariki
 
Kwa hiyo biashara inafungwa kwa sababu ya traffic??? na TRA??? Huna tafiti za kina Nina maduka mitaa ya rwagasole na moja liberty hakuna hata frame ya Duka iliyo wazi ni mbanano Wa biashara hadi gari kupita ni shida Barabarani.Sisi wafanya biashara tunahitaji wafanya biashara Barabarani waondolewe watafutiwe eneo lao. Acha kupotosha watu inawezekana unaishi Rombo ambapo wafanya biashara Wa kichaga wamehamia Dar. Maeneo uliyotaja wengi wao wana maduka hapa mwanza na wamepanua biashara zao hadi huko Katoro,Geita na Kahama kwa ajili ya masoko tu .Hiyo frame ya million tatu labda utaipata nje ya katikati ya jiji lakini rwagasole ni ndoto.
Machinga wako makoroboi na na soko kuu liberty hakuna machinga wacha kupotosha yaani mtu apanue biashara kwa kuhamia katoro ijue kakimbia mji.
 
Back
Top Bottom